MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wana Dodoma Wakoshwa Na Uboreshaji Mitaala
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wana Dodoma Wakoshwa Na Uboreshaji Mitaala
Habari

Wana Dodoma Wakoshwa Na Uboreshaji Mitaala

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: BAADHI ya wazazi na walezi Mkoani Dodoma wamefurahishwa uanzishwaji wa sera mpya ya elimu ya mwaka 2024 toleo la kwaka 2014 kwa maelezo kuwa ni mkombozi kwa vijana wa Kitanzania.
Wakizungumza na Mwandishi wa Habari hii kwa nyakati tofauti wamesema uzinduzi wa sera hiyo inayolenga kuwapatia ujuzi itapunguza changamoto sugu ya ajira.
Mwanafunzi Fatuma Madida amesema serikali imeona kilio cha wazazi wengi kwa kuzindua mtaala huo mpya ulioboreshwa kwa lengo la kuwasaidia vijana wa kitanzania.
“Kama kweli sera hiyo itasimamiwa vizuri sina shaka kuwa vijana wengi watakuwa na ujuzi mkubwa na uzoefu wa kufanya kazi zao kwa kujiamini tofauti na sasa ambapo vijana wengo wanakosa kazi kwa kigezo cha kukosa uzoefu,” amesema.
Mzazi Titto Mwamalala amesema  kitendo cha Serikali kuboresha mtaala  ni kurejesha heshima ya elimu yenye ujuzi wa taaluma mbalimbali na kuingia katika ushindani wa ajira kimataifa na kitaifa.
Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya New Precious Joseph Shinyanga, amesema kutokana na uboreshwaji wa mitaala shule hiyo pia itahakikisha inafanya vzuri kwani upatikanaji wa nyenzo kwa maana ya vitabu ni rahisi.
Katika kufanikisha ubora wa Elimu Mwalimu Shinyanga amewaomba wazaz, walezi pamoja na walimu kushirikiana kwa ukaribu zaidi na wanafunzi ili kuhakikisha ubora wa shule hiyo unaboeshwa.
Mkurugenzi wa Shule awali na msingi  ya New Precious ,Justina William  amesema kwa sasa elimu ya Tanzania inaenda kuingia katika  ushindani ndani na nje ya Tanzania kwa kuwa na vijana wengi wenye taaluma na uzoefu.
Mkurugenzi huyo ambaye shule yake ipo Michese Jijini Dodoma amesema  wamekuwa wakipokea wanafunzi tofauti tofauti wakiwepo  wenye mahitaji maalumu.
“Shule yangu inapokea watoto wenye mahitaji Mbalimbali na kila mtoto analindwa kulingana na mahitaji yake hivyo wazazi na walezi wenye watoto wenye mahitaji muwalete hapa.
“Lakini pamoja na mambo mengine bado kuna changamoto mbalimbali kama vile miundombinu ya barabara hivyo tunamuomba Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuona uwezekano wa kusaidia kujenga barabara hata ya changalawe,” amesema.

You Might Also Like

Rais Samia Azindua Makao Makuu Ya Mahakama Tanzania

NSSF Kutoa Mafao Siku Moja Baada ya Kustaafu

Aprili 2025 Matokeo Awamu Ya Kwanza, Maoni Dira Ya Taifa Na Maendeleo 2050 Kutolewa

Serikali Kupeleka Umeme Maeneo Ya Kimkakati

Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Yaeleza Mikakati Ya Kuwezesha Vijana Katika Soko La Ajira
Next Article Dkt Biteko Awasili Nchini India Kwa Ziara Ya Kikazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?