MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko
Habari

Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAKULIMA wa zabibu katika Kata ya Mpunguzi, jijini Dodoma wamekiri kuwa, upatikanaji wa soko la bidhaa zilizoongezwa thamani za zao hilo ni mkubwa.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wakulima wa Zabibu na Masoko Mpunguzi (UWAZAMAM) Moses Masasi amekiri hilo kwenye mafunzo kwa Wakulima wa Zabibu yanayotolewa kwa siku mbili na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kupitia kituo cha Makutupora.
Mafunzo hayo yana lengo la kuongeza tija katika uzalishaji wa zao hilo.
Amesema kuongezeka kwa uhakika wa soko kunatokana pia na uongezaji thamani wa zao hilo katika upande wa usindikaji wa mvinyo.
Pia amesema, kabla hawajapata mafunzo kutoka TARI walikuwa wakizalisha wastani wa  tani Moja na nusu kwa ekari lakni baada ya kupata mafunzo kutoka kwa Watafiti wanazalisha wastani wa tani nne hadi sita kwa ekari.
Kwa upande wake Mtafiti Mwandamizi kutoka kituo cha TARI Makutupora, Dainess Sanga amesema lengo la mafunzo hayo ni kufundisha kanuni bora za Kilimo cha zao hilo ili kuongeza tija zaidi kwa wakulima katika mnyororo wa thamani wa zao hilo.
Sanga amesema pia kuongeza thamani katika zao hilo ili kuongeza tija kwa wadau wa kilimo  badala ya kutegemea kuuza Zabibu ghafi pekee.

You Might Also Like

NCCR-MAGEUZI Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 

Watumishi Wa Magereza Manyara Wapatiwa Majiko Ya Gesi  

Polisi Yatoa Onyo Kali Kwa Waganga wa Tiba Mbadala

Rais Mwinyi Kuzindua Maabara Nguvu Za Atomi

Rais Samia Aongoza Waombolezaji Kutoa Heshima Za Mwisho Kwa Mbunge Ndungulile

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watumishi Wa Magereza Manyara Wapatiwa Majiko Ya Gesi  
Next Article Timu Wizara Ya Nishati Zawasili Tayari Kwa Bonanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu
Habari July 3, 2025
VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Habari July 3, 2025
Tunapokea Malalamiko Ya Wananchi, Tunayafanyia Kazi – Dario
Habari July 2, 2025
VETA Mtwara Yawafundisha Wanafunzi Uongezaji Thamani Kwenye Korosho, Mwani
Habari July 2, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?