MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko
Habari

Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAKULIMA wa zabibu katika Kata ya Mpunguzi, jijini Dodoma wamekiri kuwa, upatikanaji wa soko la bidhaa zilizoongezwa thamani za zao hilo ni mkubwa.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wakulima wa Zabibu na Masoko Mpunguzi (UWAZAMAM) Moses Masasi amekiri hilo kwenye mafunzo kwa Wakulima wa Zabibu yanayotolewa kwa siku mbili na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kupitia kituo cha Makutupora.
Mafunzo hayo yana lengo la kuongeza tija katika uzalishaji wa zao hilo.
Amesema kuongezeka kwa uhakika wa soko kunatokana pia na uongezaji thamani wa zao hilo katika upande wa usindikaji wa mvinyo.
Pia amesema, kabla hawajapata mafunzo kutoka TARI walikuwa wakizalisha wastani wa  tani Moja na nusu kwa ekari lakni baada ya kupata mafunzo kutoka kwa Watafiti wanazalisha wastani wa tani nne hadi sita kwa ekari.
Kwa upande wake Mtafiti Mwandamizi kutoka kituo cha TARI Makutupora, Dainess Sanga amesema lengo la mafunzo hayo ni kufundisha kanuni bora za Kilimo cha zao hilo ili kuongeza tija zaidi kwa wakulima katika mnyororo wa thamani wa zao hilo.
Sanga amesema pia kuongeza thamani katika zao hilo ili kuongeza tija kwa wadau wa kilimo  badala ya kutegemea kuuza Zabibu ghafi pekee.

You Might Also Like

Tume Ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kuipitia Sheria Ya Takwimu

Wanaosimamia Mitandao Ya Serikali Wadhibiti Usalama Wake

NIT yawapika vijana

UDSM Yaanzisha Mkakati Kuokoa Nyuki Wadogo

TUCTA Yaanza Maandalizi Ya Mei Mosi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watumishi Wa Magereza Manyara Wapatiwa Majiko Ya Gesi  
Next Article Timu Wizara Ya Nishati Zawasili Tayari Kwa Bonanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?