MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko
Habari

Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAKULIMA wa zabibu katika Kata ya Mpunguzi, jijini Dodoma wamekiri kuwa, upatikanaji wa soko la bidhaa zilizoongezwa thamani za zao hilo ni mkubwa.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wakulima wa Zabibu na Masoko Mpunguzi (UWAZAMAM) Moses Masasi amekiri hilo kwenye mafunzo kwa Wakulima wa Zabibu yanayotolewa kwa siku mbili na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kupitia kituo cha Makutupora.
Mafunzo hayo yana lengo la kuongeza tija katika uzalishaji wa zao hilo.
Amesema kuongezeka kwa uhakika wa soko kunatokana pia na uongezaji thamani wa zao hilo katika upande wa usindikaji wa mvinyo.
Pia amesema, kabla hawajapata mafunzo kutoka TARI walikuwa wakizalisha wastani wa  tani Moja na nusu kwa ekari lakni baada ya kupata mafunzo kutoka kwa Watafiti wanazalisha wastani wa tani nne hadi sita kwa ekari.
Kwa upande wake Mtafiti Mwandamizi kutoka kituo cha TARI Makutupora, Dainess Sanga amesema lengo la mafunzo hayo ni kufundisha kanuni bora za Kilimo cha zao hilo ili kuongeza tija zaidi kwa wakulima katika mnyororo wa thamani wa zao hilo.
Sanga amesema pia kuongeza thamani katika zao hilo ili kuongeza tija kwa wadau wa kilimo  badala ya kutegemea kuuza Zabibu ghafi pekee.

You Might Also Like

TEITI Yashiriki Maonesho ya Nane ya Uwekezaji Sekta ya Madini Geita

Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho, Laleta Furaha Kwa Watoto

Ridhiwani: Maandalizi Mei Mosi  Yafikia Asilimia 88

Serikali kuleta kicheko kwa TASU 

Massawe Achukua Fomu Kugombea Udiwani Goba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watumishi Wa Magereza Manyara Wapatiwa Majiko Ya Gesi  
Next Article Timu Wizara Ya Nishati Zawasili Tayari Kwa Bonanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?