MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya
Habari

Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Profesa Masoud Muruke ametoa wito kwa Wajumbe wa tume hiyo kutembelea ofisi za ngazi ya Wilaya zilizopo karibu na maeneo yao kwa lengo la kupata maoni na kufahamu changamoto zinazowakabili watumishi.
Muruke ametoa kauli hiyo wakati akiendesha Mkutano wa TSC unaofanyika mjini Morogoro.
Amesema kuwa Wajumbe wa Tume wana wajibu wa kusimamia na kuhakikisha Ofisi zote za TSC zinatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu katika kutoa huduma kwa walimu.
“Mimi mwenyewe jana niliona ni vema kutembelea Ofisi za Tume Wilaya ya Morogoro kwa kuwa nipo hapa Morogoro.
“Tukitembelea ofisi zetu hizi tunapata fursa ya kufahamu mazingira ya kazi ambayo wenzetu wanafanyia kazi. Pia, inasaidia kupata maoni yao na kufahamu changamoto zinazoweza kukwamisha utoaji wa huduma bora kwa walimu,” amesema.
Amesema katika kutembelea ofisi hizo, itssaidia kuwa katika mazingira mazuri ya kufanya uamuzi sahihi kwa maslahi ya maendeleo ya walimu.

You Might Also Like

Profesa Nombo Azindua Miongozo Ya Usimamizi Ya Utafiti, Ubunifu COSTECH

Faru Weusi, Simba, Tembo Waongezeka Ngorongoro

China Inaongoza Sekta ya Miundombinu na Ujenzi Tanzania

Tanzania, Belarus Zaanza Ukurasa Mpya wa Ushirikiano wa Kimkakati

COSTECH Yasaini Mkataba Ujenzi Jengo La Sayansi, Teknolojia, Ubunifu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu
Next Article Rais Samia aipongeza TPHPA, kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi, Watendaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo
Habari August 6, 2025
UDSM Yaanzisha Mkakati Kuokoa Nyuki Wadogo
Habari August 6, 2025
UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka
Habari August 5, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?