MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya
Habari

Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Profesa Masoud Muruke ametoa wito kwa Wajumbe wa tume hiyo kutembelea ofisi za ngazi ya Wilaya zilizopo karibu na maeneo yao kwa lengo la kupata maoni na kufahamu changamoto zinazowakabili watumishi.
Muruke ametoa kauli hiyo wakati akiendesha Mkutano wa TSC unaofanyika mjini Morogoro.
Amesema kuwa Wajumbe wa Tume wana wajibu wa kusimamia na kuhakikisha Ofisi zote za TSC zinatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu katika kutoa huduma kwa walimu.
“Mimi mwenyewe jana niliona ni vema kutembelea Ofisi za Tume Wilaya ya Morogoro kwa kuwa nipo hapa Morogoro.
“Tukitembelea ofisi zetu hizi tunapata fursa ya kufahamu mazingira ya kazi ambayo wenzetu wanafanyia kazi. Pia, inasaidia kupata maoni yao na kufahamu changamoto zinazoweza kukwamisha utoaji wa huduma bora kwa walimu,” amesema.
Amesema katika kutembelea ofisi hizo, itssaidia kuwa katika mazingira mazuri ya kufanya uamuzi sahihi kwa maslahi ya maendeleo ya walimu.

You Might Also Like

‘Jichunge’ Programu Ya Simu Yenye Mafanikio Katika Kuboresha Matumizi Ya Dawa Kinga Dhidi Ya VVU

Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata

Serikali Kumuenzi Mzee Morris, Ngoma Zake 10

July 10, 2025

FCC Yawavutia Wawekezaji Kwenye Maonesho Ya IATF Nchini Algeria

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu
Next Article Rais Samia aipongeza TPHPA, kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi, Watendaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mkutano wa Mawaziri wa SADC Wahitimishwa Pretoria
Habari March 13, 2026
Tanzania, Afrika Kusini Zakubaliana Kuharakisha Makubaliano ya Ushirikiano
Habari March 13, 2026
Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?