MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waajiri Wathamini Taaluma Ya Uandishi Wa Habari – Dkt. Mkoko
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waajiri Wathamini Taaluma Ya Uandishi Wa Habari – Dkt. Mkoko
Habari

Waajiri Wathamini Taaluma Ya Uandishi Wa Habari – Dkt. Mkoko

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema kama vile Serikali inavyothamini taaluma ya Uandishi wa Habari na Waandishi wenyewe, ndivyo ambavyo waajiri ama wamiliki wa vyombo vya habari wanavyotakiwa kuwapa thamani wanayostahili.
Akizungumza katika mahojiano na kituo cha Televisheni cha Upendo,  kwenye kipindi cha Wakeup Calls, Mjumbe wa Bodi hiyo Dkt. Egbert Mkoko amesema  kama Serikali inampa Mwandishi wa Habari Ithibati na Kitambulisho ina maana inamthamini.
“Serikali inamthamini huyu kwamba anastahili kuwa mwandishi wa habari kwa hiyo na yeye kama mwajiri ampe thamani inayostahili kwa sababu ukimwajiri halafu ukamwambia fanya kazi tutaangalia angalia mwisho mwa mwezi kama tutapata kitu, kama tukipata matangazo tutakupatia kitu, tusipopata tutaangalia mwezi ujao sasa hiyo itakuwa ajira au…,”
“Sasa hiyo inakuwa unaishushia hadhi taaluma yenyewe. Kwa hiyo kwanza tutapeana elimu licha ya kwamba tunajua kuwa vyombo vya habari uchumi haujakaa vizuri, na kuna ripoti ilitoka mwaka jana kuhusu hali ya uchumi wa vyombo vya habari nadhani kuna mambo yatafanyika kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya vyombo vya habari kufanya kazi na kuwa na uchumi unaostahiki kuweza kuwalipa wana taaluma wake,” amesema.
Kwa mujibu wa Mjumbe huyo waandishi wa habari wanastahili kulipwa mishahara yao kwa wakati pia kupata haki zingine za msingi kama walivyo wafanyakazi wengine ikiwa ni pamoja na bima za afya.
“Na hilo ndilo moja ya jukumu lingine la bodi kuhakikisha ustawi wa waandishi wa habari katika vyombo vya habari wanavyofanyia kazi unazingatiwa na suala la afya ni la msingi sana kwani bila kuwa na afya njema huwezi kufanya lolote na kwamba ili uwe na uhakika wa afya njema ni muhimu kuwa na bima ya afya,” amesema.

You Might Also Like

Yonaz akabidhi boti ya doria kukabili vitendo vya kiuhalifu

Majaliwa Asisitiza Matumizi ya Mifumo ya Kieletroniki Katika Makusanyo

Atoa Maelekezo Kwa Chuo Cha Hombolo Kuwajengea Uwezo Viongozi Wa Mitaa Na Vijiji -Kapinga

Soko La Kisasa La Nyamachoma Lazinduliwa Vingunguti

JOWUTA Yataka Sheria Za Kazi Kuwalinda Wafanyakazi Katika Vyombo Vya Habari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article GST Yaelezea Mafanikio Yake
Next Article Dar Yaidhinishiwa Bil. 68 Ukarabati, Matengenezo Ya Barabara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?