MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa
Habari

VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAr es Salaam: CHUO cha Ufundi Stadi (VETA), mkoani Mara wametengeneza mtambo unaochakata na kuchuja maji ya bwawa panapofugiwa samaki nje ya ziwa ama bahari.
Mwalimu wa wa Fani ya Bomba VETA Mara, Muhaji Ayub amesema hayo wakati wa Maadhimisho ya miaka 30 ya uanzishwaji wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi ( VETA), yanayoendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mlutano cha Julius Nyerere Dar es Salaam (JNICC).
Amesema wametengeneza mtambo huo kwa lengo la kuhamasisha ufugaji majumbani ama viwandani.
“Wazo hili limekuja baada ya Rais Samia Januari 30, mwaka jana 2024 alipokuja Mwanza kwenye hafla ya ugawaji vizimba kwa ajili ya kufugia samaki .
“VETA tukaona ni fursa kwetu, kuna kila sababu ya mtanzania kufanya ufugaji popote atakapotaka,” amesema.
Amesema mtambo huo unazunguka ili samaki apate hewa ya oksijeni . Pia mtambo unazalisha bacteria wa faida kwa sababu bakteria wa kwanza anachakata virutubisho zaidi kwenye maji.
“Bakteria wa pili anachakata kinyesi kinachozalishwa na samaki, kuhakikisha maji yanakuwa safi. Bacteria wa tatu anafanya uhamasishaji wa hewa nzuri ya oksijeni kwa samaki,” amesema.
Naye Mwanafunzi wa Fani ya Bomba, Jenipher John amesema elimu ya VETA imewasaidia wamepata uelewa wa ufugaji wa samaki.
“Nawashauri vijana mjiunge na VETA  mjifunze ufugaji na utengenezaji wa mtambo,” amesema
Kwa uoande wake Msimamizi wa Maonyesho hayo, Faraja Mwampashe amesema VETA mkoani Mara wanashukuru kwa kushiriki jwenye maonesho hayo, wameweza kuonesha ubunifu wao wa kusaidia kuondoa uvuvi haramu ziwani au bandarini.

You Might Also Like

Nyamhokya: Mei Mosi Ni Singida Mwaka Huu 2025

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Rais Samia na maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ

TARURA yaimarisha ubora wa barabara kwa kuwa na maabara mikoani

Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Maandalizi Mei Mosi Yapamba Moto Singida
Next Article Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?