MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika
Habari

Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MHADHIRI Mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), Dkt. Benatus Mvile amesema roketi wanayoifanyia utafiti chuoni hapo sasa imekuwa na uwezo wa kuruka kwenda kwenye njia wanayoitarajia.

Dkt. Mvile amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania kuhusu hatua iliyofikia roketi hiyo ambayo chuo cha UDOM kimeifanyia utafiti kwa lengo la kutoa majibu chanya kwa jamii inayoizunguka.

Amesema, ” Roketi ya mwaka jana tuliyokuja nayo kwenye maonesho ya sabasaba ilikosa uhimilivu, ilikuwa haina uwezo wa kuruka kwenda kwenye njia tunayoitarajia, lakini sasa imekuwa himilivu,”.

Amesema chuo hicho kimekusudia kufanya mwendelezo wa mradi huo kufikia hatma yake na kuweza kuirusha.

“Moja ya changamoto ambayo tulipata mwaka jana ni kuiwezesha roketi hii kuwa himilivu,” amesema.

Amesema kwa mwaka huu, wameweza kuifanyia roketi hiyo maboresho ya mabawa ya nyuma na muonekano wake wa mbele.

Akielezea umuhimu wa roketi kwa jamii, amesema katika kipindi hiki kumekuwa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na kusababisha uzalishaji wa chakula kupungua kwa kiasi kikubwa huku idadi ya watu ikiongezeka.

“Sasa mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yanasababisha mvua isinyeshe kwa wakati, au kwa kiwango kinachostahili ni lazima tutafute njia mbadala ya kuwezesha mvua kunyesha kwa kiwango kinachotakiwa.

“Moja ya teknolojia inayotumika ni roketi ambazo zinasaidia kwenye masuala urekeboshaji wa hali ya hewa ili kuwezesha mvua ziweze kunyesha kwa kiwango kinachostahili,” amesema.

Amesema kwa namna hiyo kama chuo wanaenda kuigusa jamii kubwa na ya kawaida, kwa sababu wazalishaji wakubwa ni wakulima wa kawaida ambao hawana uwezo wa teknolojia za kisasa kama za umwagiliaji na kuchimba visima.

You Might Also Like

CCCC Yagusa Wanafunzi Msasani kwa Msaada wa Vifaa vya Shule, Chakula

Tume ya Kurekebisha Sheria Yatoa Onyo Kali kwa Wanaovunja Sheria za Umwagiliaji

LATRA CCC Yatoa Angalizo Uhitaji Mkubwa Wa Wasafiri Mwisho Wa Mwaka

VETA Yapaa Miaka Minne Ya Rais Samia

Matokeo Ya Usaili TRA Kutangazwa April 25,2025

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Utafiti UDOM Wawezesha Plastiki Kutengeneza Mafuta Mazito Ya Viwanda, Mkaa Na Tiles
Next Article UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?