MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Uongozi CHADEMA Kanda Ya Kati Upo Imara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Uongozi CHADEMA Kanda Ya Kati Upo Imara
Habari

Uongozi CHADEMA Kanda Ya Kati Upo Imara

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage.
UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na  Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati umesema nafasi zilizoachwa na viongozi walioondoka, zitazibwa siku za karibuni.
Aidha uongozi huo umewatakia heri wanachama wote walioondoka katika chama hicho.
Hayo yameelezwa na Katibu Mtendaji wa chama hicho Kanda ya Kati,  Ashura Masoud alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kisiasa katika chama hicho.
Amesema suala la mwanachama kuhama chama na kujiunga na chama kingine ni jambo la kawaida na ni la kidemokrasia hivyo kila anayetaka kuondoka CHADEMA na kujiunga na chama kingine ruksa kwa kuwa chama hicho, siyo gereza la kuwafungia wanachama.
“CHADEMA ni taasisi na CHADEMA ni bora kuliko mwanachama hivyo kuna watu wameondoka ndani ya chama kwa kushindwa kufuata misingi ya chama chetu, CHADEMA inawatakia heri na wanatakiwa kujua kuwa CHADEMA ni imara sana.
“Tumeshuhudia uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa ulivyokuwa wa ovyo,tumeshuhudia uchaguzi wa 2020 ulivyokuwa wa ovyo zaidi na sasa tunasema kama hakuna Tume Huru ya uchaguzi hakuna uchaguzi hatuwezi kuingia kwenye uchaguzi ili watu waumizwe kutokana na mifumo ya ovyo ya uchaguzi,” amesema.
Pia amesema chama hicho kimejaa  hazina ya viongozi makini ambao wanaweza kuongoza tena kwa uhakika zaidi hivyo wale wanaoondoka kwa visingizio mbalimbali wanatakiwa kupuuzwa ili shughuli ya kimapambano iendelee.
Amesema inashangaza kusikia mwanachama aliyehama au anayehama akidai kuwa Chadema imepoteza misingi yake wakati kashindwa kusimamia misingi,  hiyo inatokana na baadhi ya waliokuwa wanachama kutokuwa waumini wa chama bali ni waumini wa mtu.
Kwa upande wake mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Dodoma Dkt. Stevine Karashani amesema inawezekanaje kiongozi ndani ya chama mwenye nafasi ya uongozi akadai kuwa chama hakina maono wakati yeye hupo ndani ya uongozi.
Amesema  wapo waliokuwa wanachama ambao wamelelewa na chama hicho hadi kusafirishwa ughaibuni kwa ajili ya kupatiwa mafunzo lakini leo wanadai kuwa chama hakina maono hiyo ni aibu kwao kwani sasa wanatafuta kukubalika kwa nguvu.

You Might Also Like

Rais Samia Aungwe Mkono Ajenda Ya Nishati Safi Ya Kupikia-Makongoro Nyerere

Masoko mapya nje ya nchi kuipatia nchi sh. trilioni 10

Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika

Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 

Silinde: Serikali bega kwa bega na wadau wa kilimo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo
Next Article Shen Zhiying: Mkongwe Aliyeanzisha Kozi Ya Kiswahili Nchini China
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Habari July 3, 2025
Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Habari July 3, 2025
VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti
Habari July 3, 2025
VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Habari July 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?