MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM
Habari

Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: WAFUGAJI wameshauriwa kufuga sungura ili kupunguza gharama za kununua mbolea pamoja na dawa za kunyunyiza katika mazao kwa kuwa kinyesi na mkojo wake ni mbolea na dawa ya wadudu.
Mtaalam wa Maabara kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Julius Ngumba ameeleza hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea Jijini Dodoma.
Amesema, ” Sisi kama Chuo Kikuu tunaonyesha fursa kuwa ukifanya hivi utapata kitu fulani Ukifuga sungura sio kwa ajili ya nyama peke yake, bali nje ya nyama kinyesi ni mbolea na mkojo pia.
“Sungura anakojoa sana ukifuga sungura hutaingia gharama ya kununua dawa dukani bali ukitumia mkojo wake ni dawa ya wadudu,” amesema.
Amesema wadudu wakisikia harufu ya mkojo wa sungura hawawezi kukaa hukimbia, hivyo mkojo huo ukinyunyizwa utazuia wadudu wasitue kwenye mazao.
Anasema ili mkojo ufanye kazi ya kuzuia wadudu inashauriwa asilimia 75 kati ya 100 uwe mkojo na asilimia 25 iwe maji ndio uchanganwe.
Hivyo ameieleza jamii kuwa inapofuga sungura isilenge tu kwenye nyama yake bali mbolea na dawa.

You Might Also Like

Vijana 26 Kwenda Kujifunza Mafunzo Ya Vitendo Nje Ya Nchi

TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

Watafiti Mataifa 10 Kujadili ElimuMsingi Nchini

Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article UDOM yashauri matumizi ya green house kupata tija
Next Article BRELA kuanza kuwasajili wakulima
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?