MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka
Habari

UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeanzisha teknolojia mpya kupitia programu ya simu janja inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za kilimo kwa wakulima nchini.
Mhadhiri Msaidizi wa UDSM katika Idara ya Uhandisi wa Kilimo, Vicent Tsoray amesema hayo katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika Kitaifa na Kimataifa mkoani Dodoma.
Amesema Programu hiyo imeundwa kwa mfumo wa kipekee wenye sehemu mbili kuu moja kwa ajili ya wakulima na nyingine kwa watoa huduma wa kilimo.
Amesema Watumiaji wataweza kujisajili kama wakulima au watoa huduma kwa kuweka taarifa zao muhimu kama majina na nywila, ili kupata ufikiaji kamili wa huduma zilizopo kwenye programu hiyo.
“Kupitia APP hiyo, mkulima ataweza kuchagua huduma anayohitaji iwe ni upatikanaji wa mashine za kilimo kama matrekta, mashine za kuvunia, vifaa vya kunyunyizia dawa au kusambaza mbolea na kuainisha ukubwa wa shamba pamoja na aina ya mazao anayolima.
“Mfumo utamuonyesha orodha ya watoa huduma waliopo, na mkulima ataweza kuchagua mmoja kulingana na mahitaji yake,” amesema.
Amesema mtoa huduma atakapopokea ombi hilo, mfumo utaelekeza hatua kwa hatua jinsi huduma itakavyotolewa hadi kukamilika.
Teknolojia hii inalenga kuongeza ufanisi, kupunguza gharama na muda wa upatikanaji wa huduma za kilimo, na hivyo kuinua tija ya wakulima wadogo na wa kati.

You Might Also Like

Katibu Mkuu Ahimiza Uzalendo Na Uadilifu Kwa Wanachama wa Ewura CCC

Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe

Lugendo Awataka Wananchi Kujenga Tabia Ya Kufanya Usafi

Majukwaa YA Dini Yaimarishe Mapambano Dhidi ya Magonjwa Ya Mlipuko

EAC Iweke Ushindani Kuongeza Thamani Ya Malighafi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Malecela Aibuka Kidume Dodoma Mjini, Mavunde Ang’aa Mtumba
Next Article UDSM Yaanzisha Mkakati Kuokoa Nyuki Wadogo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?