MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tunaunga mkono jitihada za Rais Samia katika Utalii
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tunaunga mkono jitihada za Rais Samia katika Utalii
Habari

Tunaunga mkono jitihada za Rais Samia katika Utalii

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

 

DODOMA: HIFADHI za Bahari na Maeneo Tengefu Tanzania, inaunga mkono Jitihada zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhamasisha utalii.

Ofisa Masoko wa Hifadhi hiyo, Halima Tosiri amesema hayo katika Maonesho ya Wakulima Wafugaji na Wavuvi yaliyomalizika jana Agosti 10, 2024 katika viwanja vya Nzuguni Dodoma.

 

“Katika kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha utalii na kufikia malengo kuwa ikifika mwaka 2026, Tanzania yote kufikiwa na watalii milioni tano, nasi hatuko nyuma katika kuunga mkoni, jitihada hizo kwa kuhamasisha kufanya utalii katika maeneo ya bahari.

“Tunachukua fursa hii kuwakaribisha watanzania wote kutembelea katika maeneo yetu, wataweza kufanya shughuli mbalimbali za utalii, kwa kuogelea, kushuhudia magofu ya Kale ya kuanzia karne ya 13.

 

“Lakini pia kuna jamii mbalimbali za kasa, bustani ya matumbawe, lakini Mtwara tuna nyangumi wanaohama, lakini pia tuna bwawa lenye viboko, tuna fukwe nzuri zenye mhanga safi, lakini pia una vinjari kwa kutumia boti lakini pia kutembea katika njia za misiru,” amesema.

You Might Also Like

Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi

TEA, TotalEnergies Marketing Ltd Wakabidhi Madawati 130 Wilayani Kibiti

Nyamhokya: Mei Mosi Ni Singida Mwaka Huu 2025

Thamani ya Fedha Ionekane Kwenye Utekelezaji wa Miradi-Nyamoga

TRC Yawatoa Hofu Wasafirishaji Mizigo Kwa Malori

TAGGED:Rais SamiaUtalii
Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu yaita wawekezaji
Next Article Huduma ya Mahakama ya Mwanzo yasogezwa Wilaya ya Ubungo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?