MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TUCTA Yapongezwa kwa Uwekezaji Mkubwa Arusha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TUCTA Yapongezwa kwa Uwekezaji Mkubwa Arusha
Habari

TUCTA Yapongezwa kwa Uwekezaji Mkubwa Arusha

Author
By Author
Share
2 Min Read
Mwinyi: Serikali ipo tayari kushirikiana nao katika kila hatua
Na Lucy Ngowi
ARUSHA: KAIMU Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ahmed Mwinyi amepongeza Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kwa kuwekeza kitega uchumi katika mkoa huo, akisema hatua hiyo ni ya kuungwa mkono na kuigwa.
Habari Picha 8958
Mwinyi ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ametoa pongezi hilo wakati wa hafla ya uzinduzi wa jengo hilo, mkoani Arusha.
Pia amepongeza shirikisho hilo kwa kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, kushiriki tukio hilo muhimu.
Habari Picha 8960
“Serikali ya Mkoa wa Arusha itaendelea kushirikiana kwa karibu na TUCTA katika kuhakikisha kwamba kila hatua wanayochukua ya kuimarisha ustawi wa wafanyakazi na maendeleo ya kijamii, inafanikiwa. Tutaendelea kuwaunga mkono katika kila jambo watakalolihitaji,” amesema.
Pia Mwinyi amelipongeza shirikisho hilo kwa hatua kubwa za maendeleo linazoendelea kuzifanya, zikiwemo mageuzi na mapinduzi chanya katika usimamizi wa rasilimali zake pamoja na nia ya dhati ya kukuza maendeleo ya wananchi kupitia vitega uchumi kama jengo hilo.
Habari Picha 8963
“Tunatambua mchango mkubwa wa TUCTA siyo tu kwa wafanyakazi, bali pia kwa maendeleo ya jamii. Uwekezaji huu siyo tu unaongeza thamani ya ardhi na mandhari ya jiji la Arusha, bali pia ni sehemu ya ajira na mapato kwa wakazi wa eneo hili,” amesema.
Amesisitiza kuwa Serikali ya Mkoa itaendelea kushirikiana kwa karibu na shirikisho hilo katika kuhakikisha kila mpango na shughuli zao zinafanikiwa kwa manufaa ya taifa.
Habari Picha 8961

You Might Also Like

TPHPA Yaelezea Vipaumbele Vyake

Mkutano Maalum wa CCM Kufanyika Kesho Mtandaoni

TASU yaiomba serikali inunue kutoa ajira kwa mabaharia

Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi

Watafiti Wa Mimea Vamizi Watua Serengeti

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Kusaini Muongozo Wa Kima Cha Chini Cha Mshahara Kwa Sekta Binafsi
Next Article Mwambungulu Asisitiza Ushirikiano Na Serikali
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?