MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TTCL Yawahakikishia Wateja  Miundombinu Yenye Kuboresha Maisha Yao
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TTCL Yawahakikishia Wateja  Miundombinu Yenye Kuboresha Maisha Yao
Habari

TTCL Yawahakikishia Wateja  Miundombinu Yenye Kuboresha Maisha Yao

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania TTCL limesema litatumia wiki ya huduma kwa wateja kuhakikisha miundombinu ya shirika inaboresha maisha ya Watanzania.

Kupitia Mpango Mkakati wa TTCL, tumejipanga kuhakikisha miundombinu yetuinaboresha maisha ya Watanzania. Tunaleta huduma bunifu, nafuu na zenye ubora wakimataifa, huku tukiweka ukaribu na wateja wetu katika kila hatua.

Habari Picha 9775

Akizindua wiki ya huduma kwa wateja  kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo ,Mkurugenzi wa huduma za Sheria wa TTCL Anita Moshi amesema shirika litahakikisha linaendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake

“TTCL ni taasisi yenye maono ya kikanda na mchango mkubwa katika kukuza mawasiliano barani Afrika. Huduma zetu zimevuka mipaka ya Tanzania na kufika katikanchi jirani, jambo linaloifanya TTCL kuwa nguzo kuu ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati,” amesema.

Ameongeza kuwa wamejipanga vyema kuhakikisha huduma bora, za uhakika na zenye ubora wa kimataifa zinawafikia wateja wote wa ndani na nje ya Tanzania  kupitia uwekezaji endelevu katika miundombinu ya kisasa na teknolojia za kisasa za mawasiliano.

Habari Picha 9776

“Tutakuwa wabunifu,wenye bidii na watumishi wenye maono yanayolenga matokeo kila mmoja wetu atakuwa sehemu ya suluhisho na kwa pamoja tutahakikisha kila mteja anathaminiwa,anasikilizwa na  kuhudumiwa kwa ubora wa hali ya juu

“Hii ndio maana inayosukuma TTCL mbele kama taasisi ya mawasiliano yenye tija na dhamira thabiti,” amesema Moshi.

Amesema kupitia mpango mkakati wa TTCL watahakikisha miundombinu inaboresha maisha ya watanzania,kwa kuleta huduma bunifu ,nafuu na zenye ubora wa kimataifa huku ikiweka ukaribu na wateja kwa kila hatua.

Moshi amesema TTCL ni taasisi yenye maono ya kikanda na mchango mkubwa katika kukuza mawasiliano Barani Afrika.

“Tunatambua umuhimu mkubwa wa huduma zetu kwa wateja. Shirika linaendelea kutekeleza mpango wa upanuzi wa miundombinu ya mawasiliano katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo kueneza Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano hadi kufikiawilaya zote za Tanzania,” amesema

Habari Picha 9777

“Huduma zetu zimevuka mipaka ya Tanzania na kufika katika nchi jirani hivyo kutokana na hali hiyo tumejipanga kuhakikisha tunatoa huduma bora za uhakika zenye ubora wa kimataifa .

Aidha amesema shirika linatambua umuhimu wa huduma kwa wateja na litaendelea kutekeleza mpango wa upanuzi wa miundombinu ya mawasiliamo katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo kueneza mkongo wa taifa wa mawasiliano hadi kufikia wilaya zote nchini.

Amesema ujenzi wa minara 1,400 katika maeneo ya vijijini unaendelea kwa kasi ili kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma za mawasiliano bila vikwazo sambamba na kuhakikisha huduma ya “faiba mlangoni kwako” inawafikia watanzania wote.

” Nawahakikishia wateja wetu wote kuwa TTCL tutaendelea kiwekeza katika teknolojia  ya kisasa kuboresha mifumo na kuhakikisha huduma bora zinawafikia watanzania popote walipo”amesema Moshi.

Habari Picha 9778

Naye Mmoja wa wateja maalum aliyehudhuria uzinduzi huo,Mbarouk Seif amesema analiamini shirika hilo tangu lilipoanza kutoa huduma hadi sasa na kuwataka watanzania kutumia huduma zinazotolewa na TTCL ili waweze kupata huduma bora.

 

 

 

You Might Also Like

Wachimbaji Wadogo Wafikiwa

Watafiti Wa Mimea Vamizi Watua Serengeti

Vyama Vya Wafanyakazi Vihimize Waajiri Kutoa Taarifa WCF, Zinazohusu Wafanyakazi Wanaopata Ajali, Ugonjwa Kazini

Maabara Ya Mkemia Mkuu Yashauri Wajasiriamali Wa Kemikali

Miradi Dodoma Yamkuna Rais Samia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgombea Urais CHAUMMA Ahaidi Soko La Kisasa Feri
Next Article KINABO: NICHAGUENI NILETE MAJI, BARABARA KIBAMBA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?