MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tumeridhika na kazi za TTCL – Mwanaisha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tumeridhika na kazi za TTCL – Mwanaisha
Habari

Tumeridhika na kazi za TTCL – Mwanaisha

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu
KAMATI ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imelielekeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kutatua changamoto zinazowakumba ikiwemo suala zima la deni.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mwanaisha Khamisi Juma amesema leo Dar es Salaam wakati Kamati hiyo ilipotembeleà Shirika Hilo kuona wanavyofanya kazi kama sehemu ya taasisi za Muungano.

Amesema Pamoja na mambo mengine waliyojadiliana wamewashauri kukaa pamoja Ili kutafuta suluhu ya changamoto zinazoikumba Shirika Hilo kwani ni mambo ya kimuungano.

” Pamoja na mengi mazuri yaliyofanywa na Shirika hili lakini kwenye mafanikio hakukosi changamoto hivyo wakae pamoja ili kuzitafutia Suluhu,”amesema Mwenyekiti Juma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo bila kufafanua zaidi kuhusu deni.

Hata hivyo amesema Kamati hiyo imeridhika na kinachofanywa na Shirika Hilo pamoja na jitihada zinzofanywa na Marais wote Kwa kuhakikisha wanaweza miundombinu imara.

Kadhalika amelitaka Shirika Hilo kuhakikisha wanatoa gawio Kwa serikali pindi muda wa kufanya hivyo utakapofikiwa kwani ni eneo linalorudisha tija kwa wananchi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa TTCL, Moremi Marwa amesema wamepata maelekezo na watayafanyia kazi kama inavyostahili.

Mbali ya majadiliano hayo,Kamati hiyo imetembelea kituo Cha uangalizi na uendeshaji wa mtandao na miundombinu ya mkongo wa Taifa wa Mawasiliano.

You Might Also Like

CMSA Yatoa Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi na Wakulima Nanenane

JMAT Yatoa Neno Yanayoendelea Kwa Vijana Wa Kenya

Takribani watu 200 Wamepata Ushauri Wa Kibingwa Wa Ubongo, Mifupa 

Dkt. Bwana: Tunafanya utafiti wa mbegu kutatua changamoto za wakulima

REA Yaupamba Mkutano Wa Kikanda Wa Nishati Bora 2024

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Mwenyeji Mkutano wa Mafuta na Gesi, 2025
Next Article OSHA yaelimisha sheria mahala pa kazi kwa JOWUTA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mkutano wa Mawaziri wa SADC Wahitimishwa Pretoria
Habari March 13, 2026
Tanzania, Afrika Kusini Zakubaliana Kuharakisha Makubaliano ya Ushirikiano
Habari March 13, 2026
Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?