MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21
Habari

TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar, ameitaka Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TSLB) kuimarisha huduma zake kwa njia za kisasa za kidijitali.
Dkt. Onar amesema katika kukabiliana na changamoto za elimu ya karne ya 21, ni muhimu kwa TSLB kutumia teknolojia ya kisasa kama maktaba mtandao, mifumo ya rejea ya kidijitali, na huduma bunifu kama “Maktaba Kiganjani” ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi.
“Maktaba zetu hazipaswi kuwa maeneo ya vitabu tu, bali vituo vya maarifa yanayopatikana kwa urahisi, haraka, na bila vikwazo vya kijiografia au kijamii,” amesema.
Amesema maktaba zina mchango mkubwa katika kukuza usawa wa kielimu, na hivyo ni lazima kila mwananchi apate fursa sawa ya kusoma na kujifunza.
Amesema TSLB inapaswa kuendeleza utamaduni wa kusoma vitabu miongoni mwa wananchi wa rika na makundi yote, ikiwa ni pamoja na watoto, vijana, na watu wazima.
Vituo vya malezi vilivyopo katika baadhi ya maktaba pia vilisifiwa kwa kusaidia watoto kusoma na kucheza katika mazingira rafiki ya kujifunzia, jambo linalowajengea msingi bora wa elimu ya awali.
Katika nyanja ya utafiti, Dkt. Hussein amehimiza umuhimu wa kuhifadhi nyaraka za kihistoria na kutoa taarifa sahihi kwa wanafunzi na watafiti kupitia mifumo bora ya rejista za kitaaluma.

You Might Also Like

Imarisheni Mkakati Wa Kusimamia Usafi Wa Mazingira-Mhagama

Vijana Wahimizwa Kushiriki Kikamilifu Soko Huru la Afrika

MGOMBEA URAIS WA CCM AENDELEA NA KAMPENI BABATI, MANYARA

Tumeridhika na kazi za TTCL – Mwanaisha

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania, Belarus Zaanza Ukurasa Mpya wa Ushirikiano wa Kimkakati
Next Article TUICO Arusha Yapongezwa Na AUWSA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Twendeni Tukapige Kura Ya Ukombozi, CHAUMMA Yahitimisha Kampeni
Habari October 28, 2025
Elimu Ya Nishati Safi Ya Kupikia Yawafikia Maofisa Dawati Ngazi Ya Mikoa Na Halmashauri
Habari October 27, 2025
Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Habari October 25, 2025
Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga
Habari October 25, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?