MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRAWU Kupambania Mkataba Wa Hali Bora Kwa Wafanyakazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRAWU Kupambania Mkataba Wa Hali Bora Kwa Wafanyakazi
Habari

TRAWU Kupambania Mkataba Wa Hali Bora Kwa Wafanyakazi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU), kinapambana kupatikana kwa mkataba wa hali bora kwa wafanyakazi mchakato ambao ulianza mwaka jana 2023 mpaka kufikia nwishoni mwa 2024 bado haujafanikiwa.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Eddo Makata amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Mfanyakazi Tanzania,
Akizungumzia kuhusu mchakato huo waliouanza mwaka jana, amesema wana uhakika watafanikiwa kwa serikali kuwasikiliza.
“Mchakato ulianza tokea 2023 na mwaka huu tulifanya vikao na menejimenti ya TRC lakini jambo hilo halijakamilika,” amesema.
Amesema matumaini yao jambo hilo litakamilika mwaka 2025 kwa sababu serikali imeweka jicho katika suala la treni ya umeme ( SGR), huko inapeleka fedha nyingi katika ujenzi na uendeshaji wake.
” Kwa hiyo kwa serikali yetu hii Tuna uhakika kabisa haiwezi kuwa kimya isiweze kutilia maanani suala la mkataba wa hali bora, ambao ni wa. SGR ambao wanakuwa hawana mkataba wa hali bora.
” Tuna imani kabisa  kupitia menejimenti ya TRC ambapo wafanyakazi wake wapo SGR na MGR mwaka 2025 tutaenda kukamilisha suala hili na mambo haya yatakuwa yamekamilika upande wa  TRC,” amesema.
Pia amesema zipo nyaraka wataziangalia ambazo zina upungufu ikiwemo motisha kwa wafanyakazi wa TRC na staff regulations.
Pamoja na muundo wa mshahara kwa wafanyakazzi wa TRC.

You Might Also Like

Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja

Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM

Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa

Majaliwa Afanya Harambee Ya Mei Mosi 2025

Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Aprili 2025 Matokeo Awamu Ya Kwanza, Maoni Dira Ya Taifa Na Maendeleo 2050 Kutolewa
Next Article TRAWU Yapigania Wafanyakazi TAZARA Nyongeza Ya Mshahara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?