MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA Kuipokea Ndege Yake
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA Kuipokea Ndege Yake
Habari

TPHPA Kuipokea Ndege Yake

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi

MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA), inaipokea ndege yake kutoka nchini Marekani itakayotumika kunyunyizia viuatilifu kwa ajili ya uangamizaji wa ndege waharibifu wa nafaka aina ya mpunga, mtama na uwele.

Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Profesa Joseph Ndunguru amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania kuhusu ujio wa ndege hiyo hapa Tanzania.
Amesema, “Ndege hawa wamekuwa ni wasumbufu sana. Mara nyingi wanavamia skimu  za mpunga huko Mbeya Mbarali na maeneo mengine.
“Kwa muda mrefu tunategemea Ndege ya Nzige Wekundu kutoka Nairobi nchini Kenya. Mara nyingine inachelewa na matukio haya yanatokea kwa muda mfupi unakuta skimu 10 zinavamiwa,”.
Amesema ndege inayokuja imenunuliwa kwa Sh. Bilioni sita zilizotolewa na serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Amesema ndege itakapoanza kazi italeta tija kubwa kwa kuwa uzalishaji utaongezeka, pamoja na masoko.

You Might Also Like

TASAC yajipanga kuhudumia wafanyabiashara

UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka

Mgombea Urais NCCR-Mageuzi Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza Kupiga Kura

Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro

CMA yawataka wafanyakazi walioachishwa kazi kuwasilisha mgogoro ndani ya muda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanaosimamia Mitandao Ya Serikali Wadhibiti Usalama Wake
Next Article Aloe Dorotheae, Mmea Unaopatikana Tanzania Pekee
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?