MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA Kuipokea Ndege Yake
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA Kuipokea Ndege Yake
Habari

TPHPA Kuipokea Ndege Yake

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi

MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA), inaipokea ndege yake kutoka nchini Marekani itakayotumika kunyunyizia viuatilifu kwa ajili ya uangamizaji wa ndege waharibifu wa nafaka aina ya mpunga, mtama na uwele.

Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Profesa Joseph Ndunguru amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania kuhusu ujio wa ndege hiyo hapa Tanzania.
Amesema, “Ndege hawa wamekuwa ni wasumbufu sana. Mara nyingi wanavamia skimu  za mpunga huko Mbeya Mbarali na maeneo mengine.
“Kwa muda mrefu tunategemea Ndege ya Nzige Wekundu kutoka Nairobi nchini Kenya. Mara nyingine inachelewa na matukio haya yanatokea kwa muda mfupi unakuta skimu 10 zinavamiwa,”.
Amesema ndege inayokuja imenunuliwa kwa Sh. Bilioni sita zilizotolewa na serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Amesema ndege itakapoanza kazi italeta tija kubwa kwa kuwa uzalishaji utaongezeka, pamoja na masoko.

You Might Also Like

Vijana Ni Chachu Ya Maendeleo Endelevu Wakiwezeshwa-Kikwete

Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina

Watumishi wa serikali watakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji

PSSSF sasa kidijitali

Limeni mkonge unalipa – Maghali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanaosimamia Mitandao Ya Serikali Wadhibiti Usalama Wake
Next Article Aloe Dorotheae, Mmea Unaopatikana Tanzania Pekee
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?