MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Timu Wizara Ya Nishati Zawasili Tayari Kwa Bonanza
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Timu Wizara Ya Nishati Zawasili Tayari Kwa Bonanza
Habari

Timu Wizara Ya Nishati Zawasili Tayari Kwa Bonanza

Author
By Author
Share
2 Min Read
– Biteko Mgeni Rasmi
Na Danson Kaijage
DODOMA: TIMU zitakazoshiriki michezo mbalimbali katika Bonanza la Wizara ya Nishati na taasisi zake zimeshawasili Dodoma.
Katika bonanza hilo, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati  Dkt..Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Neema Mbuja amesema  hayo alipozungumza na wanahabari kuhusu bonanza hilo litafanyika kesho Juni 28, 2025 katika Viwanja vya Jamhuri mjini Dodoma.
 Ameitaja michezo itakayoshindaniwa katikq bonanza hiyo kuwa  ni Mpira wa miguu, Mpira wa Pete, Mpira wa Wavu, Mpira wa Kikapu, Kuvuta Kamba, michezo ya jadi ikiwemo bao, drafti na kufukuza kuku.
‘’ Nipende kuchukua fursa hii kuzikaribisha taasisi zilizo chini ya  Wizara ya Nishati  kushiriki kikamilifu  bonanza ambalo linaleta fursa ya kufahamiana na kubadilishana mawazo baada ya muda wa kazi pamoja na  kufanya mazoezi ili kujenga afya,” amesema.
Ametaja kauli mbiu ya bonanza hilo ni, ‘Michezo kwa Afya bora, Shiriki uchaguzi 2025’ ikiwa na lengo pia la kuhamasisha wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kutumia haki yao ya kikatiba kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 .
Mbuja amezitaja taasisi zitakazoshiriki kuwa ni Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania (TPDC) na Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu Petroli ( PURA).
Nyingine ni Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA), Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania ( TGDC), Kampuniya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishajina Usambazaji wa Umeme (ETDCO).
Pia Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege ( TCPM), Kituo cha kuuzia mafuta ya petrol na dizeli cha Serikali (TANOIL), Kampuni ya Gesi Tanzania (GASCO) na Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa pamoja (PBPA).
Amesema bonanza hilo ni la pili kufanyika tangu kuasisiwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Doto Biteko mwaka jana.

You Might Also Like

WDC Kuboresha Miradi Yake Ya Majengo

Kaguo Ataja Mbinu Mpya Ukwepaji Kodi Kwenye Mafuta

Serikali Inaendelea Kutekeleza Mradi wa Kupeleka Umeme Grid Ya Mtwara Na Lindi- Kapinga

Kagera, Geita kuanza uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura

Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko
Next Article Mawasiliano Kati ya China, Afrika Juu Ya Mtazamo Wa Maandishi Ya Kifasihi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tunapokea Malalamiko Ya Wananchi, Tunayafanyia Kazi – Dario
Habari July 2, 2025
VETA Mtwara Yawafundisha Wanafunzi Uongezaji Thamani Kwenye Korosho, Mwani
Habari July 2, 2025
VETA Shinyanga Yatumia Kompyuta Kubuni Bidhaa 
Habari July 2, 2025
Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA
Habari July 2, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?