MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TIC Yapaa Kiuchumi Afrika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TIC Yapaa Kiuchumi Afrika
Habari

TIC Yapaa Kiuchumi Afrika

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage

Dodoma: KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetaja mambo 10 ya msingi ambayo yamesababisha kituo hicho kupaa kiuchumi Barani Afrika ndani ya miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Gilead Teri akitoa taarifa ya utekelezaji wa mafanikio ya kituo hicho kwa miaka minne, amesema njia pekee iliyofanikisha mafanikio makubwa ni pamoja na kutoa kipaumbele kwa sekta binafsi hususani wazawa.

Jambo lingine ambalo ameeleza kuwa limechangia maendeleo na mafanikio katika kituo hicho ni pamoja na ubadilishaji wa sheria ya uwekezaji ambayo ni sheria ya uwekezaji na maboresho ya ubia binafsi.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji Teri amesema kuwa mtanzania mwenye kukidhi vigezo vya uwekezaji na mwenye mtaji wa Sh. Mil. 100 anatambuliwa na kupewa sifa ya uwekezaji.

Amesema kuwa mtanzania mwenye taarifa ya benki yenye kiasi cha Sh. Milioni 10 benki kwa miezi mitatu hadi sita kwa kuonesha mzunguko wa kutoka na kuingia anapewa sifa na kuwa na kigezo cha kuwekeza.

Ameyataja mafanikio mengine ya TIC kuwa ni maboresho ya kuwahudumia watanzania kwa kuongeza weledi pamoja na kuongeza makusanyo ya kila mwezi kutola Sh, Milioni 400 kwa mwezi mwaka 2022 na kufikia Sh. Bilioni moja kwa mwezi kwa mwaka 2024 na kufanikiwa kukusanya Sh. Bilioni 12 kwa mwaka 2024.

Akizungumzia fanikio la nne Teri amesema ni kukuza diplomasia ya uchumi na kufanyika ziara za kimkakati zinazoshawishi uwekezaji wa watu kutoka katika mataifa mbalimbali na balozi zote 44 kufanya changamfu kwa kuwavutia wawekezaji nchini.

Pia amesema kuwa kumekuwepo na ongezeko la mtaji,viwanda na ajira pamoja na kuongezeka kwa teknolojia sambamba na uwekezaji kwenda Mikoa yote ya Tanzania pia kumekuwepo na ongezeko la wawekezaji mahiri na muhimu,kuongezeka kwa wawekezaji wa ndani na kuwepo kwa uwekezaji mtambuka nchini tofauti na nchi nyingine Duniani.

 

 

You Might Also Like

Kipanga: Lugha ya Kichina Inakuza Diplomasia, Kuimarisha Uhusiano

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

Watumishi wa serikali watakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji

TEA Kuhakikisha Mazingira Ya Kujifunzia, Kufundishia Yanaboreshwa

JOWUTA,IFJ na THRDC kutoa mafunzo ya kuripoti uchaguzi mkuu.

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mdau wa Maendeleo Goryo Ashinda Tuzo Ya Mlipa Kodi Bora
Next Article Serikali Yaongeza Bajeti Mfuko Wa Utamaduni Na Sanaa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?