MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TEN/MET, LHRC Zataka Iwekwe Marufuku Matumizi Ya Viboko
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TEN/MET, LHRC Zataka Iwekwe Marufuku Matumizi Ya Viboko
Habari

TEN/MET, LHRC Zataka Iwekwe Marufuku Matumizi Ya Viboko

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MTANDAO wa Elimu Tanzania(TEN/MET), pamoja na Kituo cha Sheria za Haki  za Binadam (LHRC), unashauri kuwekwa kwa vifungu vya sheria vinavyopiga marufuku matumizi ya viboko shuleni na adhabu nyinginezo zinazoathiri utu wa mtoto.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji LHRC, Fulgence Massawe ametoa ushauri huo leo Machi 11, 2025 wakati wakizungumza na Waandishi wa Habari juu ya matukio ya kujeruhiwa na kuuawa kwa wanafunzi kutokana na adhabu kali ya viboko mashuleni.

Amesema, “Tunashauri kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Elimu ya mwaka 1978 na mapitio yake. Marekebisho haya yataimarisha mfumo wa ulinzi na usalama wa wanafunzi na kuondoa mianya ya matumizi mabayaya mamlaka ya nguvu dhidi ya wanafunzi, hatua ambayo itasaidia kuzuia vitendo vya ukatili ndani na nje ya shule,”.

Amesema wanaiomba Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia itoe waraka rasmi unaoelezea walimu wote kuacha matumizi ya adhabu za viboko na kuelezea mbinu mbadala za nidhamu zinazolinda utu na haki ya watoto, wakati mchakato wa marekebisho ya sheria ya elimu ukiendelea.

Pia wameshauri serikali kuendelea kuimarisha utekelezaji wa kuanzishwa madawati ya ulinzi na usalama kwenye shule zote ifikapo mwaka 2029.

“Madawati haya yanatoa mfumo rasmi wa kupokea na kushughulikia malalamiko ya watoto wanaokumbwa na ukatili wa aina mbalimbali shuleni,” amesema.

Pia wameshauri hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya wote waliohusika na tukio hilo lakikatili na matukio mengine yanayofanna na hilo, ambapo  yamevunja haki ya msingi ya mtoto ya kuishi, kinyume na Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania ya mwaka 1977.

Naye Mratibu Kitaifa TEN/MET Martha Makala amesema Februari 26, 2025 ziliripotiwa taarifa kupitia vyombo vya habari za kufariki kwa mwanafunzi aitwae Mhoja Maduhu wa Kidato cha pili aliyekuwa akisoma Shule ya Sekondari Mwasama iliyopo Wilaya ya Busega mkoani Simiyu.

“LHRT na Mtandao wa Elimu Tanzania tunasikitishwa sana na tukio hili, ambalo si tu linakiuka haki za mtoto,bali pia linakwenda kinyume na  sheria na miongozo ya elimunchini,” amesema.

You Might Also Like

Wakandarasi Miradi wa  TAZA Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati 

Serikali Kuboresha , Kuweka Mazingira Wezeshi Kwa Vijana

Umeme Jua Kuchoche Uchumi Maeneo Ya Vijijini

BUWSSA Yapewa Bilioni 28 Kutatua Tatizo La Maji

Awamu Ya Pili Uboreshaji, Uwekaji Wazi Wa Dafatri La Wapiga Kura Kuanza Mei

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia Awatega Wateule Wake
Next Article Dkt Biteko Awasili Barbados Kunadi Nishati Safi Kimataifa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?