MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TEA Mshindi wa Kwanza Maonyesho Ya Mfuko wa Utamaduni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TEA Mshindi wa Kwanza Maonyesho Ya Mfuko wa Utamaduni
Habari

TEA Mshindi wa Kwanza Maonyesho Ya Mfuko wa Utamaduni

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la taasisi za umma katika Maonyesho ya Kwanza ya Mfuko wa Utamaduni yaliyofanyika
mkoani Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi ambaye alikuwa ni Mgeni Rasmi ndiye alitoa tuzo hizo, na kupongeza taasisi zote zilizoshiriki kwa mchango wao katika kufanikisha maonyesho hayo.
Mamlaka hiyo imekuwa miongoni mwa taasisi zaidi ya 30 zilizoshiriki katika maonyesho hayo yaliyoandaliwa na Mfuko wa Utamaduni, kwa lengo la kuhamasisha na kuendeleza shughuli za kitamaduni nchini.
Vigezo vilivyotumika katika kutoa tuzo hizo ni pamoja na muonekano wa banda, utoaji wa huduma kwa wageni waliotembelea banda, pamoja na muda wa kufungua na kufunga huduma.
Maonyesho hayo yalianza Aprili 24 hadi 30, 2025 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.

You Might Also Like

Chalamila: Ujenzi Daraja La Jangwani Waanza

Majaliwa Akazia Disemba Ni Mwisho wa Kutumia Mkaa. Gesi Kweny Taasisi

Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji

Ridhiwani Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kijijini Msoga

Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Profesa Kabudi Amimina Pongezi TEA
Next Article Rais Samia ashuhudia JOWUTA Ikiwa mwanachama wa  TUCTA 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Toleo La Sheria Zilizotafsiriwa Kwa Kiswahili Kutoka Agosti
Habari July 7, 2025
Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB
Habari July 6, 2025
TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge
Habari July 6, 2025
Elimu Ya Dawa Za Kulevya Kutolewa Kwa Wanafunzi
Habari July 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?