MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TBA Yakaribisha Wawekezaji Kushiriki Miradi Mikubwa ya Ujenzi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TBA Yakaribisha Wawekezaji Kushiriki Miradi Mikubwa ya Ujenzi
Habari

TBA Yakaribisha Wawekezaji Kushiriki Miradi Mikubwa ya Ujenzi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umeeleza mpango wake wa kutekeleza mradi mkubwa wa ujenzi katika siku za karibuni. hivyo umewakaribisha wawekezaji kushirikiana nao kwa mfumo wa ubia katika miradi hiyo ya kimkakati.
Ofisa Habari wa TBA, Adam Mwingira,amemweleza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati alipotembelea banda hilo katila maonesho ya nane ya sekta ya madini yanayomalizika leo Septemba, 28 mwaka huu 2025.
Habari Picha 9698
Mwingira amesema TBA imepanga kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa hivi karibuni na inakaribisha sekta binafsi kushiriki katika miradi hiyo kupitia ubia, hatua ambayo inalenga kuongeza kasi ya maendeleo ya miundombinu nchini.
Ameeleza miradi hiyo inatekelezwa maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo mikoa ya Geita na Chato ambapo TBA tayari imekamilisha na inaendelea na miradi mingine.
“Tunawakaribisha wawekezaji kushirikiana nasi kwa kuwa tunaamini ubia kati ya serikali na sekta binafsi utaharakisha utekelezaji wa miradi kwa ubora na kwa wakati,” amesema Mwingira.
Aidha, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kubadilisha sheria ya Majengo GN. Na. 595 ya mwaka 2023, inayoruhusu ushirikiano huo.
Amesema TBA inatekeleza miradi hiyo kwa kushirikiana na taasisi za kifedha pamoja na sekta binafsi. Miongoni mwa miradi iliyotajwa ni pamoja na ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda – Chato, Hospitali ya Mkoa wa Geita, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita, Ofisi ya TANESCO, na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

You Might Also Like

Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume

Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya

Majaliwa Afurahishwa Na Ustadi Wa Vijana Wenye Ulemavu Veta

Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS

GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BoT Yawaalika Wachimbaji Kuwekeza Serikalini, Yatoa Elimu ya Fedha
Next Article Stamico Yahimiza Ubunifu, Uaminifu Na Kujituma
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?