MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Habari

TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’

Author
By Author
Share
2 Min Read
– Mti Wenye Mchanganyiko Wa Viungo Vyote,

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: KIUNGO cha chakula kijulikanacho kama ‘Allspice’ kimekuwa kivutio kwa wananchi wanaofika katika Banda la Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), lililopo katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara yajulikanayo kama Sabasaba yanayoendelea mkoani Dar es Salaam.
Mtafiti kutoka TARI Kituo cha Mlingano Tanga, Dkt, Mgaya Maumba amesema kwamba kwenye maonesho hayo wamekwenda na miche ya viungo ikiwemo iliki, mdalasini na mche huo wa ‘Allspice’ ambao ni kiungo ambacho sio kigeni duniani, ila kwa Tanzania ni kigeni.
“Mti huu unaitwa Allspice au mchanganyiko wa viungo vyote, ni mti ambao umekusanya kiungo zaidi ya kimoja katika harufu yake, ukinusa utasikia harufu ya karafuu, harufu ya iriki, mdalasini na viungo vingine,
“Ni mti mmoja umekusanya kiungo zaidi  ya kimoja katika harufu, pia una manufaa makubwa katika matumizi ya viungo, unapikia vyakula vingi, inatumika kama kiungo cha chai, supu, biriani, hata katika ‘ Ice cream’ au sehemu ya kuokea mikate,” amesema.
Amesema kiungo hicho kina faida nyingi kiafya, pia husaidia mmeng’enyo wa chakula tumboni, kinatumika na Wajamaika wanakunywa kama chai kutibu maumivu ya kichwa, misuli na meno.
Amesema kiungo hicho pia kinasaidia kupunguza shinikizo la damu, pia kupambana na vimelea vya ukuaji wa kansa.
“Kwa hiyo wataalam wanasema kiungo hichoi kinatumika kama tiba ya kansa, tezi dume na kansa ya matiti kwa kina mama, kinazuia maumivu kwa kina mama wanapokuwa katika siku zao,” amesema.
Amesema ni kiungo kinatumika kama kinywaji lakini kina manufaa makubwa kiafya.
Amesema mtu anaweza kutumia majani ya mti wa kiungo hicho, matunda au magome yake japo wanashauri watu watumie majani kwa kuwa wakitumia magome wataua mti.

You Might Also Like

Uzinduzi wa Ubia Wiki Ya Ubunifu Tanzania 2025 Wafanyika

Watafiti Mradi Wa  AGRISPAK kutoka SUA Waanza Uandaaji Wa Vitabu Vidogo

Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva

Watanzania wasisitizwa kulinda mazingira ya miundombinu ya umeme

Serikali kuleta kicheko kwa TASU 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Next Article PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi
Habari July 4, 2025
TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Habari July 4, 2025
Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba
Habari July 4, 2025
TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja
Habari July 4, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?