MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya
Habari

TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania ( TARI), imesema watafiti wa kilimo wanaendelea kufanya tafiti zenye majibu chanya ili kutatua changamoto zinazosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi.
Mratibu Kitaifa wa Zao La Mtama kutoka TARI Ilonga – Kilosa Mkoani Morogoro, Emmanuel Mwenda amesema hayo Dar es Salaam ikiwa ni mwendelezo  wa  Mkutano kwa wadau wa Mazao ya Karanga, Maharage na Mtama.
Mwenda amesema  kutokana na changamoto hiyo, yamesababisha mbegu zilizokuwa zikifanya vizuri zamani kupungua ufanisi na tija hivyo kama watafiti inawafanya waendelee kutafiti ili wapate majibu ya changamoto hizo.
Ametoa ufafanuzi huo alipokuwa akijibu swali la mkulima aliyetaka kujua kwanini TARI inagundua mbegu mpya wakati za zamani zipo.
Naye Meneja kituo cha TARI Mikocheni Dar es Salaam, -Dkt. Freddy Tairo amesema taasisi hiyo imegundua teknolojia mbalimbali ikiwemo mbegu bora za maharage, mtama na karanga ili kuongeza tija.
Kwa upande wake msindikaji wa siagi ya karanga, Agatha Laizer amewashauri wadau wa Kilimo kama Wakulima na wasindikaji wa bidhaa za Kilimo kutafuta taarifa mbalimbali za Kilimo kutoka kwa wataalamu wa kilimo wakiwemo TARI.
Amesema ushauri huo wa kuwawezesha kujua aina ipi ya mbegu inafaa kwa usindikaji  wa siagi  ili kupata tija kutokana na shughuli mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa kilimo.
Mktano huo ulianzia Arusha, Dodoma kisha Dar es Salaam,  lengo ikiwa ni kutoa matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanyika zikilenga kubaini uhitaji wa soko na kusambaza Mbegu mpya za Mazao hayo  zenye tija zaidi.

You Might Also Like

TUCTA Yafuatilia Hotuba Ya Waziri Mkuu Bungeni

Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko

TARURA Yaimarisha Upitikaji Miundombinu Ya Barabara

Biteko – Asisitiza Umuhimu Wa Mifumo Thabiti Ya Nishati Jadidifu Kukidhi Mahitaji Ya Nishati

Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majukwaa YA Dini Yaimarishe Mapambano Dhidi ya Magonjwa Ya Mlipuko
Next Article OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?