MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Yapongeza China Kwa Kuimarisha Uhusiano Wa Kidiplomasia Kupitia Lugha, Utamaduni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Yapongeza China Kwa Kuimarisha Uhusiano Wa Kidiplomasia Kupitia Lugha, Utamaduni
Habari

Tanzania Yapongeza China Kwa Kuimarisha Uhusiano Wa Kidiplomasia Kupitia Lugha, Utamaduni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
3 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule, ameishukuru Serikali ya China kwa kuendeleza programu maalum zinazolenga kudumisha na kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na China.
Akizungumza katika hafla ya Mashindano ya Walimu wa Lugha ya Kichina Afrika yaliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mtambule amesema mashindano hayo ni ishara muhimu ya kuimarika kwa ushirikiano wa kimataifa, hasa katika eneo la lugha na utamaduni.
Habari Picha 10447
Amesema mashindano hayo yamehusisha takribani washiriki 20 kutoka nchi mbalimbali za Afrika, wote wakiwa ni walimu wa lugha ya Kichina.
Habari Picha 10460
Mtambule amesema lugha ni nyenzo muhimu katika kukuza diplomasia ya uchumi na kuimarisha uhusiano wa kijamii kati ya mataifa.
Pia amefurahishwa kusikia mipango mbalimbali inayolenga Afrika Mashariki, na akaomba kituo cha mafunzo cha Afrika Mashariki kijengwe katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ili kuimarisha zaidi ushirikiano huo.
Habari Picha 10448
Amesema ni heshima kubwa kwa Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano hayo kwa mara ya pili, jambo linalodhihirisha uwezo wa nchi katika kuratibu matukio ya kimataifa.
Amekumbusha kuwa katika maboresho ya hivi karibuni ya mitaala nchini, Serikali imeongeza lugha ya Kichina katika orodha ya lugha za kigeni zinazofundishwa na kutahiniwa katika ngazi mbalimbali za elimu.
Habari Picha 10446
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Utafiti na Machapisho wa UDSM, Dkt. Mathew Senga, akimwakilisha Makamu Mkuu wa Chuo, Profesa William Anangisye, amesema tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Confucius mwaka 2013, imekuwa kiungo muhimu cha ushirikiano kati ya Tanzania na China kupitia ufundishaji, utafiti, ushauri wa kitaalamu na shughuli za kitamaduni.
Amesema Taasisi hiyo pia imekuwa daraja la kuwaunganisha vijana wa Kitanzania na fursa za ufadhili pamoja na ajira, kupitia mahusiano yake na makampuni mbalimbali ya Kichina nchini.
UDSM, kupitia programu zake nyingi za lugha ya Kichina, imeendelea kuwa kinara katika kufundisha lugha na utamaduni wa taifa hilo, huku wanafunzi wakipata nafasi ya kujifunza Kichina kama somo la hiyari.
Habari Picha 10451
Dkt. Senga amesena,”Nina imani kila mmoja amefika hapa kwa sababu ana uwezo. Jiulizeni barani Afrika kuna walimu wangapi wa Kichina?
“Kwanini ni ninyi pekee mmechaguliwa? Jibu ni rahisi: mnaweza. Msiwe na huzuni kwa watakaokosa nafasi ya ushindi; jaribuni tena kwa wakati mwingine.”
Habari Picha 10450
Habari Picha 10452
Habari Picha 10453
Habari Picha 10454
Habari Picha 10455
Habari Picha 10456
Habari Picha 10457
Habari Picha 10458

You Might Also Like

TARI Kihinga Yainua Kilimo Cha Michikichi Kigoma

Kabonaki: Jiungeni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari

Majaliwa Akazia Disemba Ni Mwisho wa Kutumia Mkaa. Gesi Kweny Taasisi

TSB Yasisitiza Umuhimu Kuwekeza Kwenye Uchakataji Wa Mkonge

Mwambungulu Asisitiza Ushirikiano Na Serikali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania, UAE Kuimarisha Ushirikiano Wa Kibunge
Next Article NIDA Yapata Kibali Maalum Kurekebisha Taarifa Kwa Walioghushi Ili  Kujisajili
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
Mpango Wa Taifa Wa Teknolojia Uko Mbioni Kuja-Serikali
Habari December 3, 2025
Petroli Yaendelea Kushuka Bei Desemba
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?