MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Kidedea Tuzo Ya Mashindano Ya Kimataifa  Usalama wa Barabara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Kidedea Tuzo Ya Mashindano Ya Kimataifa  Usalama wa Barabara
Habari

Tanzania Kidedea Tuzo Ya Mashindano Ya Kimataifa  Usalama wa Barabara

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: SERIKALI imepokea tuzo ya heshima katika mashindano ya Kimataifa ya Usalama wa Barabara kutokana na mchango wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS).
Mchango huo wa TANROADS ni katika kuboresha usalama wa barabara ili kupunguza hatari za ajali na kuhakikisha usalama wa watumiaji wote wa barabara, kupitia mpango wa Ten Step Plan Tanzania.
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameiwakilisha serikali kupokea tuzo hiyo katika mkutano wa ‘Ten Steps to 2030 for Safer Road Infrastructure Side Event’ uliofanyika katika jiji la Marrakech nchini Morocco.
Taarifa iliyotolewa imesema kwamba mkutano huo ni wa nne wa Mawaziri kutoka Mataifa mbalimbali Duniani kuhusu Usalama Barabarani.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo TANROADS iimekuwa ni miongoni mwa washindani watano walioteuliwa kutoka nchi 11, baada ya kushindanishwa na taasisi nyingine 12 duniani.
Pia imesema mbali na TANROADS, taasisi nyingine zilizofikia hatua ya mwisho katika tuzo hiyo ni kutoka nchi za India, Australia, Peru na Saudi Arabia.
Taarifa imesema tuzo hiyo hutolewa kwa mamlaka na Wakala za barabara duniani zinazofanya juhudi kubwa za kuondoa barabara zenye hatari kwa watumiaji wake.
Waziri Ulega ameipongeza TANROADS kupitia Mtendaji mkuu wake Mohamed Besta kwa kazi nzuri inayoliletea taifa heshima na kuitangaza nchi duniani.

You Might Also Like

Watumishi Wa Afya Waliofadhiliwa Watakiwa Kukamilisha Taratibu Ifikapo Novemba 22,2025

Samia akisalimiana na Rais wa China

PSSSF MSHINDI WA KWANZA TUZO ZA UANDAAJI BORA MAHESABU ZA NBAA, 2023

Dkt Biteko Awasili Barbados Kunadi Nishati Safi Kimataifa

Mkandarasi wa mradi wa REGROW, Kilolo  atakiwa kuongeza Kasi.

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Chukueni Mkopo, Kwenye Taasisi Zilizopewa Leseni Na BOT
Next Article BMT Yaleta Kicheko Kwenye Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?