MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Ipo Tayari Kwa Mazungumzo Ya Urejeshwaji Malikale
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Ipo Tayari Kwa Mazungumzo Ya Urejeshwaji Malikale
Habari

Tanzania Ipo Tayari Kwa Mazungumzo Ya Urejeshwaji Malikale

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Tanzania ipo tayari kuanza majadiliano kuhusu urejeshwaji wa mikusanyo ya malikale na masalia ya miili ya binadamu iliyochukuliwa na Ujerumani wakati wa ukoloni

Chana aliyasema hayo kwenye Uzinduzi wa Onesho la pamoja kati ya Tanzania na Ujerumani kuhusu Historia za Tanzania lililowekwa katika Jumba la Humboldt mjini Berlin, Ujerumani

Akiongea kwa njia ya mtandao amesema Kamati ya Majadiliano tayari imeundwa na mawasiliano yanaendelea kwa upande wa Ujerumani kupitia njia za kidiplomasia.

“Kuwekwa kwa Onesho hili la pamoja pia ni ishara nzuri ya kwamba Serikali ya Ujerumani ipo tayari kurejesha heshima ya utamaduni wa Mtanzania na kuweka alama ya uwajibikaji wa kudumu na uwajibikaji wa kimaadili kwa historia ya ukoloni iliyotweza utu na ustawi wa Mtanzania” alisema Chana.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na Waziri wa Utamaduni na Habari wa Ujerumani, Claudia Roth, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Hassan Iddi Mwamweta, Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa la Taifa, Dr. Noel Lwoga, Mkurugenzi Mkuu wa Humboldt Forum Profesa Hartmut Deorgerloh, na baadhi ya Machifu na wanajamii kutoka Tanzania. baadhi ya machifu na wanajamii kutoka Tanzania.

You Might Also Like

Wenye Ulemavu Wa Ngozi Wakumbukwa Kupitia FDH, Wapewa Msaada Wa Milioni 20

Watanzania Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Bidii

Serikali Inatoa Kipaumbele Kufikisha Umeme Taasis Zinazotoa Huduma Kwa Jamii- Kapinga

Kilimo Shadidi Kinapunguza Uzalishaji Wa Gesi

Waziri Ridhiwani Awataka Wafanyakazi Kuongeza Bidii Katika Kazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Matumizi Ya Baiteknolojia Nchini ni Madogo – Profesa Yanda
Next Article Waziri Mkuu Majaliwa Akoshwa Na Tafiti Ya Mhitimu OUT
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?