MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanesco yashauriiwa kuendeleza kasi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanesco yashauriiwa kuendeleza kasi
Habari

Tanesco yashauriiwa kuendeleza kasi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi wetu
SHIRIKA  la Umeme Tanzania  (TANESCO) limetakiwa  kuendeleza kasi ya utendaji mzuri katika Utekelezaji wa Miradi ya uzalishaji na Usambazaji  Umeme nchini pamoja na suala zima la Utoaji.
Waziri wa Ujenzi  Innocent Bashungwa amesema hayo leo mara baada ya kutembelea banda la TANESCO katika Mkutano wa 9 wa Wahandisi Wanawake  kwa mwaka 2024.
Bashungwa ambaye ndiye mgeni rasmi katika maonesho hayo, ameelezea kufurahishwa kwake na hatua nzuri zilizofikiwa na TANESCO katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme nchini pamoja na suala zima la Uboreshaji wa utoaji huduma kwa watumiaji wa umeme.
Amesa kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania, Gissima Nyamo-Hanga,  Watumishi walioshiriki Maonesho hayo wamepokea pongezi hizo na kuahidi kuzidisha kasi ya utendaji na utoaji wa Huduma bora kwa Wadau.
Mkutano huo wa Wahandisi Wanawake unakwenda pamoja na Maonesho yanayoshirikisha Taasisi Mbalimbali hapa nchini.

You Might Also Like

Kamati Ya Bunge Yapongeza Usimikaji Mfumo Wa Kidijitali CMA

Pinda Aitaka Jamii Kujikita Upandaji Miti Bila Kusubiri Matukio Maalumu

JOWUTA,IFJ na THRDC kutoa mafunzo ya kuripoti uchaguzi mkuu.

Huduma ya Mahakama ya Mwanzo yasogezwa Wilaya ya Ubungo

Shinyanga Kunufaika Na Miradi Ya REA,Wauziwa Mitungi 13,000 Kwa Ruzuku

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wafanyakazi fahamuni vihatarishi sehemu za kazi
Next Article Fikeni kwa wakati CMA, mtatuliwe migogoro ya kikazi – Massawe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Jamii Yatakiwa Kuzungumza Pamoja Kuhusu Maji, Masuala ya Jinsia
Habari March 16, 2026
Tume Ya Madini Yaweka Vipaumbele Kuwezesha Vijana Kushiriki Katika Uchimbaji Madini 
Habari March 16, 2026
Dawati  La Jinsia Unguja Latoa Ulinzi Na Usalama Kwa Watoto Wa Kike Kuwaepusha Na Ukatili
Habari March 16, 2026
Rais Samia Awekeza Mabilioni Kuboresha Sekta ya Uvuvi
Habari March 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?