MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: SUA Yawafikia Wafugaji Wa Ng’ombe Wa Maziwa Kwa Tiba Mbadala Ya Homa Ya Kiwele
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > SUA Yawafikia Wafugaji Wa Ng’ombe Wa Maziwa Kwa Tiba Mbadala Ya Homa Ya Kiwele
Habari

SUA Yawafikia Wafugaji Wa Ng’ombe Wa Maziwa Kwa Tiba Mbadala Ya Homa Ya Kiwele

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

 Na Lucy Ngowi

TANGA: WAFUGAJI wa ng’ombe wa maziwa jijini Tanga, wameshukuru kwa kupata elimu ya jinsi ya umuhimu wa usafi wakati wa kukamua ng’ombe ili kuepusha kupata homa ya kiwele iliyotolewa na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA).

Mfugaji kutoka Kata ya Mzizima, Winnie Lema amesema kupitia elimu hiyo waliyopewa kuhusu homa ya kiwele na SUA, kupitia mradi unaofadhiliwa na Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo na Utafiti cha Canada (IDRC), imewangozea uelewa kwa kiwango kikubwa.

Amesema awali hawakuwa na elimu hiyo, hivyo imewawezesha kuyajua makosa waliyokuwa wakiyafanya bila kujua.

Mtafiti Kiongozi wa Mradi huo, Profesa Gaymary Bakari amesema mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na wafugaji 47, yana lengo la kutoa mrejesho kwa wafugaji na kutambua changamoto wanazokumbana nazo.

“Mafunzo haya ni sehemu ya tathmini ya hali halisi ya homa ya kiwele katika mkoa wa Tanga, baada ya kufanya utafiti wa awali, sasa tumeleta mrejesho na kuwasikiliza wafugaji ili kuelewa changamoto na namna ya kuimarisha tiba tunayoendelea kuibuni,” amesema.

Naye Ofisa Mifugo kutoka Halmashauri ya Jiji la Tanga, Dkt. Rashid Chonga Nasoro, ameipongeza SUA kwa kupeleka elimu hiyo kwa wafugaji.

“Mafunzo haya yatasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza athari za homa ya kiwele. Tumejifunza njia sahihi za kukinga na kudhibiti ugonjwa huu,” amesema.

Mradi wa NANO COM unatekelezwa katika mikoa mitano nchini ambayo ni Tanga, Iringa, Mbeya, Njombe na Arusha. Tafiti katika maeneo haya zinalenga kubaini vyanzo vya homa ya kiwele na kubuni tiba mbadala kwa ajili ya wafugaji nchini Tanzania.

You Might Also Like

Katiba Na Sheria Kutoa Kipaumbele Kusikiliza Malalamiko Ya Wananchi

Kampeni ya Mama Samia imewafikia zaidi ya watu 4000 mikoa saba

Trilioni 1.3  Zatumika Kuboresha Afya Ya Msingi Nchini

Serikali Kuanzisha Kituo Maalum Cha Kuwezesha Wawekezaji Vijana

Lukuvi Asema 2024 Bangi Ilivunja Rekodi, Tani Zaidi Ya 2000 Zilikamatwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanafunzi Msingi Wajitosa Kujifunza Kichina
Next Article Kenya, Tanzania Zashirikiana na China Kukabiliana na Changamoto za Ushuru wa Marekani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Ziwa Ngozi Lavuta Mamia Sabasaba, Wageni Washangazwa Na Ramani Ya Afrika Juu Ya Mlima
Habari July 9, 2026
Shirika La Uzalishaji Mali La Polisi Kujenga Vituo Vya Ukaguzi Wa Vyombo Vya Moto
Habari July 9, 2026
Watumishi 7881 Watakaostaafu 2026/27 Watambuliwa Kupitia Kampeni Ya Tunalipa Jana-PSSF
Uncategorized July 8, 2026
Katambi Apongeza Zimamoto Kwa Uwekezaji Wa Vifaa Vya Kisasa
Uncategorized July 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?