MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Spika Zungu Atangaza Kifo Cha Mbunge Wa Peramiho, Jenista Mhagama
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Spika Zungu Atangaza Kifo Cha Mbunge Wa Peramiho, Jenista Mhagama
Habari

Spika Zungu Atangaza Kifo Cha Mbunge Wa Peramiho, Jenista Mhagama

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
SPIKA wa Bunge,  Mussa Azzan Zungu, ametangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Peramiho,  Jenista Mhagama, kilichotokea leo Desemba 11, 2025, Jijini Dodoma.
“Kwa masikitiko makubwa, naomba kutangaza kifo cha Mbunge wa Peramiho, Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama, kilichotokea leo tarehe 11 Desemba 2025, Jijini Dodoma,” amesema.
Ametoa pole kwa Wabunge wote, familia ya marehemu, ndugu, jamaa na wananchi wa Jimbo la Peramiho, akiwataka kuwa na moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu.
Amesema kuwa Ofisi ya Bunge, kwa kushirikiana na familia ya marehemu, inaendelea kuratibu mipango ya mazishi na taarifa zaidi zitatolewa kadri zitakapopatikana.
Marehemu Jenista  Mhagama alizaliwa Juni 23, 1967 na amefariki dunia leo Desemba 11, 2025.

You Might Also Like

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki

Ulega Ataka Ushirikiano Miradi Ya Kimkakati Ikamilike Kwa Wakati

Shemdoe apongeza

TARI Yawafikia Wakulima Kilosa, Kilimo Shadidi Cha Mpunga

TEA, UNICEF na Canada waendeleza mageuzi ya elimu Sikonge

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkenda: Maendeleo ya Taifa Yanategemea Sayansi na Teknolojia
Next Article Uwekezaji Mkubwa Uliofanywa Na Serikali, Kituo Cha Gesi Asilia Mlimani Waleta Nafuu Kwa Wananchi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waomba Ajira 12,000 Kwenye Utumishi Wa Umma Kuanza  Kusailiwa  
Habari December 12, 2025
Uwekezaji Mkubwa Uliofanywa Na Serikali, Kituo Cha Gesi Asilia Mlimani Waleta Nafuu Kwa Wananchi
Habari December 12, 2025
Mkenda: Maendeleo ya Taifa Yanategemea Sayansi na Teknolojia
Habari December 11, 2025
Dkt. Ikomba wa CWT Aeleza Jinsi Elimu Ilivyobadilisha Taswira ya Tanzania kwa Miaka 64
Habari December 9, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?