MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Shemdoe apongeza
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Shemdoe apongeza
Habari

Shemdoe apongeza

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Profesa Riziki Shemdoe amempongeza Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Semesi kwa utendaji na utekelezaji wa mikakati yenye kuleta tija katika suala zima la  Usimamizi na Uhifadhi wa mazingira kwa maendeleo endelevu ya Nchi.
Profesa. Shemdoe amezitoa pongezi hizo alipotemblelea banda la NEMC katika maonesho ya wakulima ( Nanenane) yenye kaulimbiu isemayo ” Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa maendeleo endelevu ya kilimo, mifugo na uvuvi”.
Shemdoe pia  ameelezwa mikakati endelevu yenye kuleta tija katika suala zima la  Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini.
Profesa Shemdoe amesema ” NEMC mmepata kiongozi mzuri, ni mtendaji, mtekelezaji na mfuatiliaji wa mambo, hakika  mazingira yapo salama chini ya NEMC,”

You Might Also Like

Rais Mpya CWT Ikomba: ‘Nataka Kuwaunganisha Walimu, Kuitendea Haki Kazi Yetu’

Majaliwa awasili Kilimanjaro kufungua semina Mambo ya Ndani

OCPD Nguzo Kuu ya Utungaji Sheria – Dkt. Ndumbaro

Miaka Minne Ya Samia, TANESCO Yajivunia Kudhibiti Upotevu Wa Umeme

Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article NIT yawapika vijana
Next Article Mkuu wa Mkoa akabidhi matrekta kwa wakulima kutoka Pass Leasing
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?