MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 
Habari

Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: SHEIKH wa Mkoa wa Dodoma Alhaji Dkt. Mustapha Shaban Rajabu akemea baadhi ya wanawake  wanaojipamba kinyume cha maagizo ya Mungu,
Pia wenye kuvaa nguo za kuonesha maumbile yao, kwa kusema kujipamba huko ni sawa na uchafu au kujipaka matope.
Sheikh Rajab amekemea hilo muda mfupi baada ya kumalizika kwa ibada ya Eid ul-Fitr iliyofanyika katika msikiti wa Gadafi Jijini Dodoma.
Amesema  kwa sasa wapo wanawake wameacha maadili ya Kimungu na kufanya mambo yao wenyewe hususani wakati wa kujipamba na kuvaa mavazi yasiyo na stara.
Amesema mwanamke ambaye anajibandika kope,nywele bandia, kujichubua kwa kujiongezea weupe, kuvaa nguo za aibu za kuonyesha maumbile ni sawa na kujipaka uchafu katika mwili, wawapo kwenye ibada hawawezi kupata thawabu.
“Katika dini ya Kiislamu sheria inaweka wazi kwa kumtaka mwanamke kuvaa nguo za kujisitiri mwili wake
“Kwa sheria hiyo mwanamke anapokuwa ajajisitiri vyema ni sawa kama yupo uchi kwa maana sehemu ambayo haihesabiki kuwa uchi kwa mwanamke ni usoni na viganja viwili vya mikono.
“Lakini iwapo ataacha kifua wazi,tumbo,kitovu au kuvaa nguo zinazoonesha maumbile yake huyo mtu ni sawa na aliye uchi kwa kuwa tayari sheria za dini ya Kiislamu zinamkataza,” amesema.
Amesema mwanamke anasitirika kwa kuvaa mavazi marefu na kuchora hina au piko,  achorwe na mumeo, kuonwa na mumewe tu hayo maua.
Hata hivyo amesema sheria ya dini ya kiislamu inawazuia wanaume kuvaa mavazi ya kubana na kuonesha maumbile,kusuka nywele,kuvaa kikuku au kuvaa milegezo au namna yoyote ya mavazi yampasayo mwanamke.
Amesema mwaname wa aina hiyo ni machukizo mbele za Mungu na kwa kufanya hivyo dini ya kiislamu inamuona kama mwanaume huyo ni firauni.

You Might Also Like

Kongani za viwanda kutoa ajira nchini.

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

CCM Kuwezesha Wananchi Kufuatilia Mkutano Mkuu Maeneo Ya Wazi

Maziwa Kukuza Uchumi Wa Wafugaji

Wafanyakazi Wakumbushwa Kujitokeza. Kwa Wingi Kupiga Kura

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani
Next Article Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?