MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya
Habari

Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

WIZARA  ya Afya kwa kushirikiana na  Ofisi ya Rais- TAMISEMI  pamoja na wadau mbalimbali iko mbioni kukamilisha Mwongozo wa Kitaifa wa Uhamasishaji Jamii.

Akizungumza katika kikao kazi cha kupitia Mwongozo huo Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya  Dkt. Ona Machangu amesema lengo la kikao hicho ni kuhakikisha kunakuwa na mwongozo wa kitaifa utakaorahisisha ushirikishwaji wa Makundi mbalimbali katika  jamii  ili kuimarisha uwajibikaji,  uwazi na ushiriki wa jamii katika kukinga,  kulinda na kuboresha afya zao.

Habari Picha 10137

 

“Kupitia Mwongozo huu  tunaendelea kujenga jamii yenye afya bora, inayoshiriki kikamilifu katika maendeleo ya endelevu katika huduma za afya, lishe na ustawi wa jamii ili kufikia Dira ya Taifa 2050,” amesema Dkt. Machangu.

Aidha, Dkt. Machangu amesema Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii wamekuwa na mchango mkubwa katika utekelezaji wa mipango  mbalimbali ya Afya ikiwemo Mpango wa Taifa wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, Malaria, Mpango wa  Kudhibiti UKIMWI na Mpango wa Taifa wa Magonjwa Yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele.

Habari Picha 10138

Kikao hicho kimeratibiwa na Wizara ya Afya,  kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu pamoja na wadau wakiwemo  Shirika la Afya DUNIANI( WHO), Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani(UNICEF), Amref Tanzania, Action Against Hunger, SIKIKA na Tanzania Red Cross Society.

 

You Might Also Like

RC Chalamila Ataka Reli Za Ndani Ya Mkoa Kusafirisha Abiria, Kupunguza Msongamano

Biteko Atoa Somo Uzalishaji Matumizi ya NIishati Afrika

Mashine Kusaidia Uuzaji Vinywaji Bila Muuzaji

TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe

Wasilisheni Migogoro Yenu Tume ya Usuluhishi na Uamuzi – Massawe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUGHE Yatoa Wito Kwa Wafanyakazi Kujitokeza Kupiga Kura
Next Article CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke
Habari October 23, 2025
CHAUMMA Yalia na Umaskini Katikati ya Utajiri wa Dhahabu
Habari October 23, 2025
MWALIM AOMBA WATANZANIA KUMWOMBEA WIKI YA MWISHO KUELEKEA UCHAGUZI
Habari October 23, 2025
VIONGOZI WA DINI WAONYA: ‘TUMIENI BUSARA, LINDENI AMANI WAKATI WA UCHAGUZI’
Habari October 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?