MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Kikwete Akagua Maandalizi ya Kilele Mbio za Mwenge Jijini Mwanza
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Kikwete Akagua Maandalizi ya Kilele Mbio za Mwenge Jijini Mwanza
Habari

Ridhiwani Kikwete Akagua Maandalizi ya Kilele Mbio za Mwenge Jijini Mwanza

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Kazi,Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amefanya ziara ya siku mbili mkoani Mwanza kwa ajili ya
kukagua maandalizi ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru zinazotaraji kuhitimishwa mkoani hapo Oktoba 14, mwaka huu katika uwanja wa CCM Kirumba.
Akiwa Mwanza Ridhiwani amekutana na makundi mbalimbali ili kuhamasisha ushiriki wa kilele hicho na wiki ya Vijana ambayo inaanza Oktoba nane hadi 13.
Ridhiwani katika ziara yake kwenye Viwanja vya Furahisha alikutana na makundi ya vijana wasanii katika fani mbalimbali na baadae kukutana na Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Walimu wa sekondari na vyuo toka wilaya zote za Mkoani humo.
Katika kukutana nao aliwahimiza kujitokeza kwa wingi kuulaki Mwenge ikiwa ni pamoja na kushiriki kilele cha wiki ya vijana.
Pia alikwenda Uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya kuangalia  maandalizi ya halaiki yanayoendelea.

You Might Also Like

Watumishi wa Umma Watakiwa Kuwa na Nidhamu, Ubunifu

Kima Cha Chini Cha Mshahara Chapanda Kwa Asilimia 35.1-Rais Samia

Baraza La Wafanyakazi Ni Kama Bunge – Magoiga

Aprili 2025 Matokeo Awamu Ya Kwanza, Maoni Dira Ya Taifa Na Maendeleo 2050 Kutolewa

Nishati Safi Ya Samia Yawafikia Wanawake chalinze

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria
Next Article REA Yatoa Milioni 38.2 kwa ajili ya kufungwa mfumo wa nishati safi, Shule ya Samia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?