MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Aiagiza CMA Kushughulikia Migogoro Kwa Haraka, Ufanisi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Aiagiza CMA Kushughulikia Migogoro Kwa Haraka, Ufanisi
Habari

Ridhiwani Aiagiza CMA Kushughulikia Migogoro Kwa Haraka, Ufanisi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MOROGORO: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete ameiagiza Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), kushughulikia migogoro kwa haraka, ufanisi na weledi ili kutimiza matarajio ya wadaawa na wadau ambao wengi wao ni wawekezaji,  kusaidia kukuza Uchumi wa nchi.
Ridhiwani ameagiza hayo alipofungua akifungua kikao kazi cha Tathmini ya Utendaji Kazi na mafunzo kwa watumishi wa CMA, Mkoani Morogoro.
Amesema kwa kufanya hivyo kutachochea ukuaji wa kiuchumi na kuhakikisha mahala pa kazi panakuwa na amani ili kuwafanya  wafanyakazi na waajiri watumie muda mwingi kufanya uzalishaji wenye tija.
Ridhiwani pia ameitaka tume hiyo kuwa taasisi ya kimkakati katika utatuzi wa migogoro ya kikazi.
“Serikali iliongeza bajeti ya tume kiasi cha zaidi ya Sh. Milioni 900,000 bila shaka mmeona ongezeko hilo limeleta mabadiliko siyo tu kwenye maslahi ya wafanyakazi lakini pia kuiwezesha tume kutekeleza majukumu yake ya msingi,” amesema.
Naye Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, Dkt. Yose Mlyambina amewakumbusha wasuluhishi na waamuzi kutilia mkazo suala la matumizi ya mfumo wa kielekroniki, kuangalia namna bora ya kupokea  vielelezo ili kuwasilisha jalada kamilifu pindi litakapoitishwa mahakamani.
Awali Mkurugenzi Mkuu wa CMA, Usekelege Mpulla ameeleza kuwa tume hiyo itaendelea kuwa taasisi ya kimkakati katika kukuza uchumi nchini kwa kuimarisha utatuzi wa migogoro ya kikazii ili kuhakikisha mahala pa kazi panakuwa na amani.
Amesema kwa kufanya hivyo wafanyakazi na waajiri watatumia muda mwingi kufanya uzalishaji wenye tija.

You Might Also Like

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

TPHPA ina mchango mkubwa utoshelevu wa chakula – Profesa Ndunguru

Massawe Achukua Fomu Kugombea Udiwani Goba

Mkandarasi wa mradi wa REGROW, Kilolo  atakiwa kuongeza Kasi.

Timu Wizara Ya Nishati Zawasili Tayari Kwa Bonanza

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 
Next Article Trilioni 1.3  Zatumika Kuboresha Afya Ya Msingi Nchini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Maliasili Yapongezwa Kwa Kutekeleza Maono Ya Rais Samia  
Habari July 23, 2025
Tanzania, Uturuki Zaweka Dira Mpya ya Biashara ya Dola Bil. Moja
Habari July 23, 2025
TUICO Arusha Yapongezwa Na AUWSA
Habari July 23, 2025
TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21
Habari July 23, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?