MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwan Azindua Jengo La Biashara La TUCTA-Arusha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwan Azindua Jengo La Biashara La TUCTA-Arusha
Habari

Ridhiwan Azindua Jengo La Biashara La TUCTA-Arusha

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu
WAZIRI Wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira Vijana Na Wenye Ulemavu ,Ridhiwan Kikwete amezindua jengo la kimkakati la biashara linalomilikiwa na Shirikisho La Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) lililoko jijini Arusha.

Jengo hilo lenye vyumba vya biashara, ukumbi wa mkutano, hoteli na maeneo mbalimbali yanayotumika kibiashara limejengwa na kukarabatiwa na kampuni tanzu ya TUCTA inayojulikana kama WDC.

Akizungumza,Kikwete amesema
Ufunguzi wa jengo hilo la kisasa ni ishara ya wazi kuwa wafanyakazi nchini wameamua kwa dhati kuunga mkono maendeleo na kuimarisha ustawi wa jamii yetu kiuchumi.

Habari Picha 8933

Wahenga walisema: “Kidole kimoja hakivunji chawa.” Hii ni kusema kuwa mshikamano ni nguzo ya maendeleo ya kweli. Vyama vya wafanyakazi vikiwa imara, taifa linakuwa imara. Vinatoa mchango mkubwa katika kudumisha amani, utulivu na maendeleo ya taifa” amesema.

Amesema Serikali inatambua na kuthamini mchango huo, hasa katika kulinda haki za wafanyakazi, kukuza ustawi wao, na kuhimiza uzalishaji pamoja na utoaji wa huduma zenye tija kwa taifa letu.

“Hakuna anayeshinda kivyake — tunashinda pamoja, na kufurahia ushindi pamoja!Maana ya Jengo hili kwa Mustakabali wa TUCTA,” amesema.

 

Habari Picha 8937

Amesema Ujenzi wa jengo hilo ni ushahidi kwamba ndoto huweza kutimia kupitia mshikamano.

“Jengo hili si kuta na dari pekee — bali ni chimbuko la fikra mpya, mikakati madhubuti, na sauti ya wafanyakazi,” amesema.

Aidha amesema amefarijika kusikia kwamba katika jengo hilo kuna Wapangaji ambao ni Wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo 115 ambao huwezesha kupata mapato ya Sh Milioni 50 kwa mwezi.

Amesema Kwa uwekezaji huo mzuri wa Kimkakati, ni vema TUCTA ikaona uwezekano wa kuongeza vitega Uchumi kwenye maeneo mengine Nchini.

Kikwete ametoa rai kwa TUCTA na vyama vyake vyote kulitumia jengo hilo kama kituo cha mafunzo, mazungumzo ya kijamii, na kuleta mabadiliko chanya katika mazingira ya kazi.

Amewakumbusha kuwa , migogoro na migongano ni sumu kwa mshikamano na ni kikwazo kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa jamii.

Amesisitiza kwamba, jengo linaweza kujengwa kwa saruji na chuma, lakini mshikamano hujengwa kwa uaminifu, uadilifu, uzalendo, mazungumzo ya kweli na nia njema.

“”Dumisheni mshikamano miongoni mwa Vyama vya Wafanyakazi, Dumisheni mshikamano na Waajiri, bila kuwasahau Wafanyakazi ambao hutoa mchango mkubwa wa Nguvukazi katika uzalishaji,

Naomba jengo hili liwe taa ya mshikamano wa wafanyakazi nchini na liwe kielelezo cha mafanikio ya umoja wenu,” amesema.

 

Habari Picha 8944

Amewataka kutimiza wajibu kwa mujibu wa Katiba ya Nchi, Sheria zilizopo na Katiba za vyama vya wafanyakazi.

“Wajibikeni kwa kila eneo mnalohusika nalo na muendelee kutoa michango chanya kwa maendeleo na ustawi wa taifa letu,” amesema.

You Might Also Like

December 5, 2024

Ikomba: Aliishi Na Watoto Wiki Sita Akiwafundisha Kabla Ya Mtihani WaTaifa

Lukuvi Asema 2024 Bangi Ilivunja Rekodi, Tani Zaidi Ya 2000 Zilikamatwa

Ntonda Ameipongeza TEA Kwa Utekelezaji Bora Wa Miradi Ya Elimu

Timu Ya Watanzania Ikiongozwa Na Profesa Ndunguru, Yakutana Na Balozi Zambia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kutoka 1975 hadi 2025: TUCTA Yatimiza Ndoto Ujenzi Jengo La Biashara Arusha
Next Article Serikali Kusaini Muongozo Wa Kima Cha Chini Cha Mshahara Kwa Sekta Binafsi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?