MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rasmi Leo DSM Kuanza Biashara Saa 24
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rasmi Leo DSM Kuanza Biashara Saa 24
Habari

Rasmi Leo DSM Kuanza Biashara Saa 24

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: HATIMAYE Biashara ya saa 24 kuanza leo katika eneo la Kariakoo, Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameeleza hayo jana usiku akiwa katika maeneo ya Kariakoo.

Amesema kwa siku tatu mfululizo kuanzia leo hadi Februari 27, 2025 unafanyika  uhamasishaji kwa umma  kuhusu uanzaji rasmi wa ufanyaji biashara kwa saa 24.

Amesema Kariakoo ni eneo la uzinduzi lakini wilaya nazo zitaendelea kufanya hivyo Katika maeneo yao ili kuweza kurasimisha biashara saa 24.

Chalamila amesema Mataifa yaliyoendelea hufanya biashara saa 24 ambayo hupanua wigo wa ajira kwa vijana, lakini pia kodi huongezeka.

“Kwa kuwa Mkoa huu ni kitovu cha Biashara kwa kufanya hivyo vijana watapata fursa za kujiajiri na TRA pia itaweza kukusanya mapato mengi zaidi,” amesema.

Mkuu huyo wa mkoa, amewahakikishia wafanyabiashara usalama wa kutosha kwa kuwa miundombinu ya kiusalama inaendelea kuimarishwa ikiwemo kuwekwa taa na Camera  katika Mitaa.

Pia amesema baada ya uzinduzi huo anatarajia kuunda kamati itakayoongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa Dkt. Toba Nguvila kwa ajili ya kupitia sheria zinazokinzana na kufanya biashara saa 24 hasa Sheria ndogo ndogo za Halmashauri za Manispaa.

You Might Also Like

Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 

Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao

MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani

Wiki ya kudhibiti bidhaa bandia kuhitimishwa DSM

Watafiti Mradi Wa  AGRISPAK kutoka SUA Waanza Uandaaji Wa Vitabu Vidogo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Kikwete Azindua Miradi Ya Thamani Ya Bil. 1.7 Songwe
Next Article Mafanikio Ya TEA Kwa Serikali Awamu Ya Sita;Miradi Ya Elimu 3,768 Yatekelezwa, Bil. 49.5 Zatumika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?