MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais TUCTA Apongeza Mfuko Wa NSSF Kwa Ongezeko La Thamani Hadi Trilioni 9
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais TUCTA Apongeza Mfuko Wa NSSF Kwa Ongezeko La Thamani Hadi Trilioni 9
Habari

Rais TUCTA Apongeza Mfuko Wa NSSF Kwa Ongezeko La Thamani Hadi Trilioni 9

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Shani Kibwaswali

DODOMA: RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), kazi nzuri inayofanya ya kusimamia fedha za wanachama wake vizuri kwani hivi sasa shirika hilo limepanda.

Rais wa TUCTA Nyamhokya ametoa pongezi hizo siku chache baada ya NSSF kueleza mafanikio yake kwa kipindi cha miaka minne cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwa madarakani.

Amesema anakumbuka miaka mitatu au minne iliyopita walikuwa na taarifa kuwa mfuko huo ulikuwa na Sh. Trilioni 4.8 ambazo walikuwa wamezitolea taarifa, hivyo baada ya kuelezea mafanikio ya sasa thamani ya mfuko huo ni Sh. Trilioni 9.2 ambalo ni ongezeko kubwa kwa zaidi ya aslimia 90.

“Ukiona inakwenda hivyo lazima uangalie ni nini kiasi kilichopelekea hadi thamani ya mfuko ikapanda na kwa kiwango hicho lakini ukitazama unaona ni ongezeko la wanachama na ongezeko la wanachama linatokana na ongezeko la ajira.

“Ongezeko la ajira kwa sasa linatokana na uvutiaji wa wawekezaji unaofanywa na Rais Samia kwa kweli sisi kama Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi tunampongeza Rais sana kwa jinsi ambavyo ameitangaza nchi yetu kwa wawekezaji wamekuja na manufaa,

“Na tunaona sasa ajira zimeongezeka na hatimaye huu mfuko ni kielelezo tosha kwamba sasa walau watanzania walio wengi wako kwenye nafasi za ajira,” amesema.

Kwa upande mwingine amesema kwenye suala la kupungua kwa muda wa kuwalipa wastaafu mafao baada ya kustaafu, sheria zipo wazi na kanuni zake kwamba walau isizidi miezi miwili maana ya siku 60.

“Kwa sasa wanakwenda kwenye wastani wa siku 22 baada ya kustaafu wanachama wanapata mafao yao,” amesema.

Amesema utaratibu wa mfuko huo kwa sasa wanataka kuwalipa wastaafu ndani ya siku moja, kwamba “mstaafu anastaafu leo kesho anapata mafao yake, sisi tunawapongeza na huduma yao tunapongeza sana,”.

Bodi ya mfuko chini ya utendaji wa mkurugenzi masha amefanya kazi kubwa tunawasupoti tutandelea kusimama nao tunashauri wanachama ambao hawajajiunga na mfuko wajiunge wanapotoka kazini watapata faida nyingi sana

You Might Also Like

COSTECH yazindua program kuwajengea uwezo wanawake kidijitali

TPHPA Tumejiimarisha Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao – Ndunguru

Wahandisi 428 Wajengewa Uwezo Kukuza Taaluma

Sheria ya ajira, mahusiano kazini ipitiwe upya

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Utaratibu Wa Manunuzi Ya Bando

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Matumizi Holela Ya Vilevi Hatari Kwa Watumiaji
Next Article Tujenge Jumuiya Yenye Mustakabali wa Pamoja kati ya China na Afrika – Wang Yi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?