MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi
Habari

Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Lucy Lyatuu

MKUTANO wa nane wa mawaziri wa Uvuvi,Bahari na maji ukanda wa karibiani na pasifiki (OACPS) unatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam ukilenga kuweka mkakati wa pamoja kuhusiana na sera zinazohusiana na masuala ya Uvuvi na ufugaji pamoja na viumbe maji.

Mkutabo huo unatarajia kufanyika kuanzia Septemba 9 mpaka 13 mwaka 2024 ukijumuisha mawaziri wakisekta, wataalam wa sekta ya Uvuvi kutoka nchi wanachamana na ulimwengu Kwa ujumla, Taasisi sisizo za kiserikali, Taasisi za kikanda,watafiti,vyuo vikuu,na Wavuvi wadogo.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema hayo Leo alipozungumza na waandishi wa habari kuelekea mkutano huo na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi .

Amesema mkutano huo umepangwa kufanyika pamoja na kongamano la kimataifa kuhusu mikakati ya uboreshaji wa mnyororo wa uzalishaji wa vyakula vya majini.

Kuhusu lengo la mkutano huo Waziri Ulega amesema ni kujadili masuala mbalimbali ya sekta ya Uvuvi katika nchi wanachamana ikiwa ni pamoja na kuweka mkakati wa pamojas kuhusiana na sera zinazohusiana na masuala ya Uvuvi na ufugaji viumbe maji Ili Kuimarisha sekta ya Uvuvi.

Amesema pamoja na hayo ameeleza manufaa yatakayopatikana kuwa ni kufungua fursa za uwekezaji kwenye uchumi wa bluu hususani kwenye maeneo makuu mawili ya Uvuvi na Ufugaji samaki, pamoja na kuendelea kuboresha mahusiano ya matumizi ya rasilimali za maji ya asili.

Mkutano huo utafungwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi

You Might Also Like

TARI Yabadilisha Kilimo kwa Teknolojia Mpya, Za Kisasa

Wananchi Washauriwa Kujiunga Na Chuo Cha Ualimu Na Ufundi Stadi Morogoro

VETA Yafanya Mageuzi Makubwa Yaliyowezesha Wengi Kuajiriwa

Wizara Ya Madini Kununua Chopa, Kufanya Utafiti

𝐓𝐅𝐒 Y𝐚𝐧𝐝𝐚𝐚 M𝐤𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 W𝐚 M𝐢𝐚𝐤𝐚 1𝟎 Ku𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐳𝐚 N𝐚 K𝐮𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢 M𝐢𝐬𝐢𝐭𝐮 Ya Mi𝐤𝐨𝐤𝐨 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐫𝐚

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mjadala na Kampuni za Nishati Kimataifa Kuendelezwa
Next Article Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?