MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi
Habari

Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Lucy Lyatuu

MKUTANO wa nane wa mawaziri wa Uvuvi,Bahari na maji ukanda wa karibiani na pasifiki (OACPS) unatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam ukilenga kuweka mkakati wa pamoja kuhusiana na sera zinazohusiana na masuala ya Uvuvi na ufugaji pamoja na viumbe maji.

Mkutabo huo unatarajia kufanyika kuanzia Septemba 9 mpaka 13 mwaka 2024 ukijumuisha mawaziri wakisekta, wataalam wa sekta ya Uvuvi kutoka nchi wanachamana na ulimwengu Kwa ujumla, Taasisi sisizo za kiserikali, Taasisi za kikanda,watafiti,vyuo vikuu,na Wavuvi wadogo.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema hayo Leo alipozungumza na waandishi wa habari kuelekea mkutano huo na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi .

Amesema mkutano huo umepangwa kufanyika pamoja na kongamano la kimataifa kuhusu mikakati ya uboreshaji wa mnyororo wa uzalishaji wa vyakula vya majini.

Kuhusu lengo la mkutano huo Waziri Ulega amesema ni kujadili masuala mbalimbali ya sekta ya Uvuvi katika nchi wanachamana ikiwa ni pamoja na kuweka mkakati wa pamojas kuhusiana na sera zinazohusiana na masuala ya Uvuvi na ufugaji viumbe maji Ili Kuimarisha sekta ya Uvuvi.

Amesema pamoja na hayo ameeleza manufaa yatakayopatikana kuwa ni kufungua fursa za uwekezaji kwenye uchumi wa bluu hususani kwenye maeneo makuu mawili ya Uvuvi na Ufugaji samaki, pamoja na kuendelea kuboresha mahusiano ya matumizi ya rasilimali za maji ya asili.

Mkutano huo utafungwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi

You Might Also Like

Sekta Ya Madini Yapaisha Pato La Taifa

Ndege Ya TPHPA Yatua Rasmi Kudhibiti, Kwelea Kwelea, Viwavijeshi, Nzige 

CMA yawataka wafanyakazi walioachishwa kazi kuwasilisha mgogoro ndani ya muda

CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025

Muswada kuja wa Watumishi Wanaofanya Kazi Eneo Zaidi ya Moja Kuanza kuchangiwa na Waajiri Wote

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mjadala na Kampuni za Nishati Kimataifa Kuendelezwa
Next Article Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?