MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro
Habari

Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Mwandishi wetu
MOROGORO: WAGENI zaidi ya 800 kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wamefanya ziara ya kihistoria katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro.
Ziara hiyo ambayo imefanyika baada ya wajumbe wa TUGHE kumaliza semina iliyofanyika jijini Arusha, lengo lake ni  kuwaweka pamoja waajiri na wafanyakazi ili kupata uelewa wa pamoja, kujadili na kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza mahala pa kazi.
Mwenyekiti wa TUGHE Taifa, Joel  Kaminyoge amesema lengo la ziara yao ni kutoa hamasa ya utalii wa ndani na kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan katika kukuza utalii ambapo ziara hiyo imewapa fursa wanachama wao   kujionea vivutio vya kipekee vinavyopatikana hifadhi ya Ngorongoro.
“Leo tumekuja na wanachama zaidi ya 800 kutembelea Kreta ya Ngorongoro kujionea moja kati ya vivutio bora vya dunia ambavyo ni sehemu ya urithi wa dunia,
“Tunaamini kwamba ziara yetu italeta tija na hamasa kwa wakuu wa taasisi kuwa na utaratibu wa kuwapeleka watumishi wao kufanya utalii wa ndani katika vivutio mbalimbali nchini,” amesema.
Naye Meneja wa huduma za Utalii na masoko wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Mariam Kobelo amesema  mamlaka hiyo ipo tayari kuendelea kupokea makundi mbalimbali ya  wageni na kuwahakikishia kuwa wanapata huduma bora ili kuendelea kutangaza hifadhi hiyo  na kuimarisha utalii ndani.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Tanzanite Cooperates L.t.d aliyeratibu ziara hiyo, Elina Mwangomo, ameleza kuwa kwa sasa kuna ongezeko kubwa la watalii wa ndani hali inayoongeza hamasa kwa wadau wa utalii kuendelea kuboresha huduma zao.
Amesema Ngorongoro imekuwa moja kati ya eneo ambalo linapendwa zaidi na wageni na watalii kutoka maeneo mbalimbali ya nchi.
Kwa upande wake, Jackline Ngoda ambaye ni mmoja kati ya wanachama waliotembelea Hifadhi hiyo ameonesha kufurahishwa  na ziara hiyo baada ya kujionea wanyama mbalimbali ikiwepo wanyama wakubwa watano wakiwa katika maeneo yao ya asili.
“Kwa ujumla tumeona Wanyama mbalimbali, wakiwemo Simba, Nyati, Tembo, Swala, nyumbu, viboko, pundamilia na wengine wengi, tumeweza kuona uzuri wa kipekee wa Kreta ya Ngorongoro na napenda kuwaambia watanzania wenzangu waje kutembelea Ngorongoro na kujionea uzuri wake wa asili,” amesema.

You Might Also Like

Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti

Rais Samia afurahia SGR

Samia Azindua Shule ya Msingi ya Mchepuko wa Kiingereza Songea

NIT Yasema Ina Uwezo Wa Kufundisha Kozi Ya Urubani

TPHPA ina mchango mkubwa utoshelevu wa chakula – Profesa Ndunguru

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watakiwa kufanya utafiti kubaini chanzo cha makosa ya walimu
Next Article Ridhiwan Kikwete awaagiza maofisa kazi kushirikiana na WCF
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?