MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba
Habari

Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na  Lucy Lyatuu
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ambaye ndiye mgeni rasmi katika ufunguzi  katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam 2025, ‘Saba Saba’ anatarajiwa kukata keki kubwa   ambayo ina kilogramu 3000 sawa na tani tatu.
Aidha Waziri  wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Profesa Palamagamba Kabudi amefurahishwa na keki kubwa ambayo imetengenezwa na kubuniwa miradi mikubwa iliyotekelezwa na serikali ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake.
Waziri Profesa Kabudi  ameeleza furaha yake baada ya kutembelea banda la kampuni ya kutengeneza keki na mikate ya Lazziz Bakery Limited katika maonesho huku akibainisha kuwa  kilichomvutia ni kuonesha mambo makubwa yaliyopatikana  katika serikali ya Dk. Samia Suluhu Hassan.
Amefafanua kuwa miradi ambayo imetekelezwa katika serikali ya Dk.Samia ni pamoja na kupunguza vifo vya uzazi kwa asilimia 80.
Profesa Kabudi ameeleza kuwa Keki hiyo inawasilisha aina ya ubunifu kwa kuonesha mambo yote yaliyofanywa na kwamba Ina uzito  wa tani tatu ambayo imeonesha miradi mikubwa ya kimkakati ikiwamo ujenzi wa daraja la kigamboni,Reli ya kisasa SGR, Daraja ya John Kijazi, uwanja wa ndege,Ikulu ya Chamwino Dodoma, Ikulu ya Dar es Salaam.
“Mtu anakuja hapa anaona keki ya aina yake yenye uzito wa tani tatu ambayo ina miradi yote mikubwa ambayo Rais Dk Samia amefanya kwa watanzania na inajidhihirisha kwa macho,”; amesema Waziri Kabudi.
Aidha amewapongeza wabunifu wa keki hiyo kutioka Lazziz Bakery Limited  huku akisema hata yeye alitamani kuivunja keki hiyo ambapo ameogopa kuharibu maonesho.
Mkurugenzi wa  Lazziz Bakery Limited  Syed Rizvi amesema  keki hiyo ina kilogramu 3000 sawa na uzito wa tani tatu ambayo imetekelezwa kwa kuonesha miradi ya serikali ya awamu ya sita katika kipindi cha miaka minne ya  RAIS Dk. Samia.
“Kila mtu anayekuja hapa kuangalia keki hii anafurahi ni keki kubwa Afrika,” ameeleza Mkurugenzi wa Lazziz Bakery.
Awali Mhasibu wa Lazziz Bakery Elizabeth Ligendo amesema  keki ilitotengeneza ni ya Kimataifa ambayo imebuniwa kwa kuzingatia miradi mikubwa ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dk.Samia.

You Might Also Like

VETA Mtwara Watua Na Mwani Maadhimishilo Ya Miaka 30

Wanafunzi Wawili Wajiteka Ili Wapate Pesa Toka Kwa Wazazi wao

Muhimbili yarejesha tabasamu kwa Karume baada ya miaka 25 ya mateso

Jisajilini mapema mpate mbolea ya ruzuku

Maboresho sheria, kanuni za madini yameongeza mapato

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja
Next Article TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi
Habari July 4, 2025
TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Habari July 4, 2025
TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Habari July 4, 2025
TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja
Habari July 4, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?