MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: PURA Yajivunia Agenda Ya Matumizi Ya Nishati Safi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > PURA Yajivunia Agenda Ya Matumizi Ya Nishati Safi
Habari

PURA Yajivunia Agenda Ya Matumizi Ya Nishati Safi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
3 Min Read
Na Lucy Lyatuu

MAMLAKA Ya Kudhibiti Mkondo Wa Juu Wa  Peteoli   (PURA)  inajivunia agenda ya Nishati Safi ya kupikia iliyoanzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan na kwamba wanaitekeleza kwa vitendo.

Imesema katika maonesho ya biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba imeona mwamko  umekuwa mkubwa Wa suala la Nishati Safi na kwamba watendaji wamekuwa wakiitekeleza kwa vitendo bila kumuangusha Rais Samia.
Mkurugenzi Mkuu wa PURA Charles  Sangweni  amesema hayo katika banda la PURA lililoko kwenye maonesho ya biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba na kuongeza kuwa kazi ya Mamlaka hiyo ni udhibiti wa shughuli zote za utafutaji,uzalishaji na uendelezaji Wa shughuli za mafuta na gesi
Amesema PURA imekuwa ikishirikinkatika maonesho hayo kuanzia 2017  na kwamba  Kila mwaka kumekuwa na maboresho Makubwa wamekuwa wakiyaona na kwa mwaka 2025 mambo yamekuwa mazuri zaidi.
“Kwa mwaka huu  katika maonesho haya vitu vingi vimeenda kidijitali zaidi lakini mwamko Wa wananchi umekuwa mkubwa na idadi ya wanaoingiankatika Banda letu imekuwa kubwa kuliko miaka yote,” amesema.
Amesema na maswali yanayoulizwa Yana  maana jambo linaloonesha jinsi  Wananchi walivyojenga uelewa mkubwa wa mafuta na gesi.
Kuhusu PURA amesema wakati Mamlaka inaanzishwa ushiriki Wa watanzania hasa kwenye ajira na kampuni  za  utafitaji,Uzalishaji Uendelezaji shughuli za Mafuta na Gesi ilikuwa chini ya asilimia 55 lakini kwa sasa ni asilimia 85.
Amesema kuongezeka kwa kiwango hicho kunapimwa kwa kukusanya data na kwamba walizoea Kuna meli ikija kwa ajili ya utafitaji Mafuta ikiwa na watumishi wa nje lakini kwa sasa hata Wa ndani ya nchi wanaonekana.
“Watanzania wamepata uzoefu kutoka kwa watu na katika kushiriki miradi iliyofanywa huko  nyuma,” amesema na kuongeza kuwa PURA Ina mirafi mbalimbali inayotekeleza na  kwamba kwa sasa wako kwenye maandalizi ya kuchimba visima vitatu Mtwara na kwenye vitalu ushiriki Wa Watanzania uko kwa asilimia 40.
Amesema pamoja na ushiriki huo kukua lakini Mamlaka itahakikisha kazi zote zinafanywa na watanzania na  katika kampuni 10 za utafutaji sita kati ya hizo ni za Watanzania.
“Na nafasi za uongozi karibu asilimia 95 ni za Watanzania kwani Mamlaka imejitahidi maeneo yote kuweka watanzania” amesema huku akiipongeza serikali.
MWISHOOOOajivunia Agenda Ya Matumizi Ya Nishati Safi

You Might Also Like

Dirisha  La Udahili Awamu Ya Pili Lafunguliwa-TCU

Simbachawene: Nitaheshimu Mfumo Wa Uongozi Na Kushirikiana

Mbunge wa Monduli Aahidi Kusimamia Changamoto za Jimbo Lake

Sekta Ya Madini Yazidi Kuchangia Ukuaji Wa Uchumi – Majaliwa

CHAUMMA Yataka Kuvunja Bodi ya Korosho, Kuunda Mamlaka Mpya ya Mazao ya Kimkakati

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA: Miaka 30 ya Kuinua Ujuzi na Kuunda Wataalamu wa Kesho
Next Article Mama Janeth Magufuli Atembelea Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu Sabasaba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?