MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi
Habari

PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza kuendesha mitihani yake ya 31 ya kitaaluma kuanzia Agosti 25 hadi 29, 2025 katika jiji la Dodoma.

Akizungumza na vyombo vya habari, Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB, Godfred Mbanyi, amewataka waombaji wote wenye sifa na nia ya kufanya mitihani hiyo kuhakikisha wanajisajili kwa wakati kupitia tovuti rasmi ya usajili https://registration.pstpb.go.tz.

Mbanyi amesema Agosti 15, 2025 ni tarehe ya mwisho ya usajili na amesisitiza kuwa mitihani hiyo itafanyika katika kituo kimoja tu, jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mbanyi amewaomba wazazi na walezi kuunga mkono ndoto za watoto wao kwa kuwalipia ada ya usajili wa mitihani hii muhimu, akisema kuwa elimu ya kitaaluma ni msingi wa maendeleo ya mtu binafsi na Taifa kwa ujumla.

Aidha, amewahimiza wadau wote wa sekta ya ununuzi na ugavi kufanya kazi kwa uadilifu na uzalendo, akisisitiza kuwa taaluma hiyo ni mhimili muhimu katika kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali za umma kwa maslahi ya nchi.

Mitihani ya PSPTB ni sehemu muhimu ya mchakato wa kuthibitisha umahiri wa wataalamu wa ununuzi na ugavi, na hutoa nafasi kwa watahiniwa kupata ithibati ya taaluma hiyo kwa viwango vya kimataifa.

Amesema ili kupata taarifa zaidi kuhusu mitihani na usajili, wahusika wanahimizwa kutembelea tovuti rasmi ya PSPTB au kuwasiliana na ofisi zao zilizoko Dodoma.

You Might Also Like

OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa

Mongela Ajiridhisha Ushindi wa Kishindo , Uchaguzi Serikali za Mitaa,Uchaguzi Mkuu CCM

BRELA Yatwaa Tuzo Sabasaba

Rais Samia na maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ

Muhimbili yarejesha tabasamu kwa Karume baada ya miaka 25 ya mateso

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Next Article Taasisi Ya Confucius Imezindua Kitabu Cha Kujifunza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?