MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Programu Mpya ya TPHPA Yalenga Usalama wa Mazao Sokoni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Programu Mpya ya TPHPA Yalenga Usalama wa Mazao Sokoni
Habari

Programu Mpya ya TPHPA Yalenga Usalama wa Mazao Sokoni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
KWA mara ya kwanza, Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeanzisha programu maalum ya kufuatilia masalia ya viuatilifu kwenye mazao yanayoingia katika masoko ya ndani, hatua inayolenga kulinda afya ya walaji.
Akizungumza na vyombo vya habari kuhusu mafanikio ya mamlaka hiyo kwa kipindi cha mwaka 2023/2024 hadi 2025/2026, Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Profesa Joseph Ndunguru, amesema kuwa utekelezaji wa programu hiyo tayari umefanyika katika mikoa 10 ya Tanzania Bara pamoja na Zanzibar (Unguja na Pemba).
Aidha kazi ya uchukuaji sampuli inaendelea katika mikoa mingine.
Katika kuimarisha shughuli za udhibiti na ukaguzi, TPHPA imefanikiwa kuwajengea uwezo wakaguzi 82 wa mazao na viuatilifu kupitia mafunzo maalum, ili kuboresha utendaji wao mipakani na katika kanda mbalimbali.
Sambamba na hilo, mamlaka hiyo imetoa mafunzo kwa vijana wa programu ya BBT 365, ambapo vijana 118 kutoka Chinangali na 147 kutoka Ndogowe walifundishwa kuhusu udhibiti wa visumbufu vya mimea pamoja na matumizi sahihi na salama ya viuatilifu.
Kwa upande wa usalama wa viuatilifu, TPHPA imefanya uchambuzi wa viuatilifu hatarishi vinavyotumika nchini na kubaini uwepo wa viambata amilifu hatarishi 18.
Kutokana na matokeo hayo, jumla ya viuatilifu 130 vimeondolewa sokoni.
Aidha, kwa sasa mamlaka hiyo inaendelea kufanya tathmini ya kiasi cha viuatilifu chakavu kilichopo nchini, kwa lengo la kuratibu utaratibu sahihi wa kuviteketeza kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).

You Might Also Like

Tanzania Kuwa Mwenyeji Wa Mkutano Wa Petroli Afrika

Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba

Usafirishaji Shehena Waingiza Dola Bilioni 3.54

Mafunzo Yatolewa Katika Kongamano La Jotoardhi

TARURA Yaunganisha Vijiji Vya Ifinisi, Kambanga na Bugwe Wilayani Tanganyika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article CHAKUHAWATA Yaimarisha Ulinzi wa Haki za Walimu, Yafikia Wanachama 49,750
Next Article Mavunde: Makaa ya Mawe Ni Injini ya Maendeleo ya Viwanda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mavunde: Makaa ya Mawe Ni Injini ya Maendeleo ya Viwanda
Habari March 30, 2026
CHAKUHAWATA Yaimarisha Ulinzi wa Haki za Walimu, Yafikia Wanachama 49,750
Habari March 29, 2026
Upungufu wa Wataalamu wa Ustawi wa Jamii Wachangia Changamoto Kwenye Huduma za Jamii
Habari March 28, 2026
Italia Yahimiza Ubunifu Wa Bidhaa Za  Sanaa Za Vioo
Habari March 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?