MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Polisi wazuia uhalifu Tanganyika Packers
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Polisi wazuia uhalifu Tanganyika Packers
Habari

Polisi wazuia uhalifu Tanganyika Packers

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

MKAZI wa Mbezi Luis mkoani Dar es Salaam, Festo Maricha (27) amejeruhiwa na polisi baada ya kutoa panga kwa ajili ya kutaka kumdhuru askari akiwa kwenye majukumu yake ya kikazi.
Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema hayo katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ya kueleza mikakati ya kuhakikisha usalama wa Jiji la Dar es Salaam unakuwa wa hali ya juu.
Muliro amesema mtuhumiwa Maricha alikuwa na mwenzake ambaye hakufahamika jina alikimbia.
Akielezea tukio hilo amesema, Septemba tatu majira ya saa mbili usiku, jeshi hilo lilipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuwa maeneo ya Kawe Tanganyika Packers, kulikuwa na watu wawili waliokuwa na mapanga.
Amesema watu hao walitishia na kupora wapita njia.
“Ufuatiliaji wa polisi ulifanyika haraka na kuwakuta watu hao ambapo walipotaka kukamatwa walikaidi na kutoa mapanga kutaka kumdhuru mmoja wa askari, ambaye alijihami kwa kupiga risasi hewani.
” Na baadaye alipokuwa kwenye hatari kubwa ya kudhuriwa alimjeruhi kwa risasi mtuhumiwa mmoja Festo Maricha, ambaye amepelekwa hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu,” amesema.

You Might Also Like

BRAC Tanzania: Upo Umuhimu Sekta Binafsi, Serikali Kushirikiana

Ushiriki Wa Wanawake, Wasichana Katika Sayansi Ni Mdogo

Ukusanyaji Mapato Halmashauri Hauridhishi – Ndugange

TARI Yawapa Elimu Wakulima, Maofisa Ugani 165 Kilimo Cha Matunda

Wasilisheni Migogoro Yenu Tume ya Usuluhishi na Uamuzi – Massawe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ushirikiano Wa Nchi Za Kiafrika Uthibitike Kwa Vitendo -Dkt. Biteko
Next Article Polisi Yatoa Onyo Kali Kwa Waganga wa Tiba Mbadala
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?