MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa
Habari

Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA:WATUMISHI wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wametakiwa kuongeza uwajibikaji, nidhamu ya kazi, kuboresha utendaji kazi, kuimarisha ushirikiano na viongozi ili kuendelea kudumisha amani, utulivu na usalama wa nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa wito huo alipokuwa akifungua mkutano wa Baraza Kuu la wafanyakazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dodoma.
“Michango yenu ilenge kutekeleza falsafa ya 4Rs za Mheshimiwa Rais, ambazo ni Maridhiano, Mabadiliko, Ustahimilivu na Kujenga upya” amesema.
Naye Naibu wa Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo amewapongeza watumishi kwa kuendelea kuwa wazalendo katika kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi kwa ufanisi mkubwa.
Mweyekiti wa Baraza hilo ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Gugu amasisitiza watumishi watumie baraza hilo kutoa michango yenye tija itakayowezesha Wizara kutekeleza majukumu ya kila siku.
“Kufanyika kwa Mkutano huu wa Baraza Kuu la wafanyakazi wa Wizara ni fursa kwa watumishi wote kushirikishwa katika kupanga mipango ya Wizara Kupitia majadiliano ya pamoja,” amesema.

You Might Also Like

Utiaji Saini Mkataba Wa Ujenzi Jengo La TUGHE Wafanyika

Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita

Wanawake Tumieni Fursa Zilizopo Kufanya Biashara

Teknolojia Mpya Ya Uchomeleaji Yaleta Mapinduzi VETA Dodoma

Rais Samia Akabidhi Tuzo Kwa NSSF Ya Usimamizi,  Uratibu Wa Hifadhi Ya Jamii Kw Sekta Binafsi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM
Next Article Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?