MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: NIDA Yapata Kibali Maalum Kurekebisha Taarifa Kwa Walioghushi Ili  Kujisajili
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > NIDA Yapata Kibali Maalum Kurekebisha Taarifa Kwa Walioghushi Ili  Kujisajili
Habari

NIDA Yapata Kibali Maalum Kurekebisha Taarifa Kwa Walioghushi Ili  Kujisajili

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu

MAMLAKA ya Vitambulisho Vya Taifa (NIDA) imesema serikali imetoa kibali maalum kwa ajili ya kushughulikia maombi  ya mabadiliko ya taarifa kwa waliotumia nyaraka za kughushi pamoja na waliotoa taarifa za udanganyifu walipojisajili kwa Mamlaka hiyo.

Imesema kibali hicho maalum kimetolewa kwa muda maalum wa mwaka mmoja na kwamba wenye changamoto za taarifa hizo kujitokeza na kwenda kwenye ofisi za NIDA za wilaya wakiwa na viambatanisho vinavyotakiwa ili kufanya marekebisho wanayohitaji katika muda uliopangwa.

Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji amesema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa Habari na kuongeza kuwa kibali cha maombi hayo kinahusisha makundi mbalimbali  ikiwemo waathirika wav yeti  vya kughushi, waliofukuzwa katika ajira  za serikali kutokana na kutumia  vyeti vya shule  vya kugushi ambapo  pia walitumia vyeti hivyo kujisajili NIDA.

Imesema kundi lingine ni watu waliotumia majina ya watu wengone kupata elimu,watu wlaiotoa  taarifa za  uongo au udanganyifu katika usajili wa NIDA na raia wa Tanzania waliojisajili kama wakimbizi.

Kaji amewataka  wananchi wa makundi hayo kufika katika Ofisi za NIDA za wilaya wakiwa na nyaraka zinazohitajika ili kushughulikia maombi ya mabadiliko hayo.

Amesema watu hao watalazimika kuwa na viambatanisho vya  lazima Pamoja na vya ziada kama watakavyoelekezwa.

 

Habari Picha 10464

Amevitaja viambatanisho hivyo kuwa ni Pamoja na  nakala ya vyeti halisi vya elimu,cheti cha kuzaliwa  kilichohakikiwa na RITA Deep Pool  iliyosajiliwa na gazeti la serikali na nyaraka nyingine itakayotakiwa na Ofisi za NIDA.

Amesema maombi yatakayofanyiwa kazi ni yale yatakayokidhi masharti na vigezo vilivyowekwa baada ya wahusika kuwasilisha nyaraka zinazotakiwa  kwa ajili ya kuthibitisha taarifa zao.

Aidha Mamlaka hiyo imesema kwa kuwa kibali hicho kimetolewa kwa muda maalum, wale wenye changamoto za taarifa zao kujitokeza na kwenda  kwenye ofisi za NIDA za wilaya wakiwa na viambatanisho vinavyotakiwa ili kufanya marekebisho wanayohitaji katika muda uliopangwa.

Kadhalika inawaomba wananchi kutoa taarofa sahihi na za ukweli wanapokuwa wakijisajili NIDA kwa ajili ya  utambulisho wa taifa kw akuwa kutoa taarifa zisizo sahihi au kufanya udanganyifu wa taarifa wakati wa usajili ni kosa kwa mujibu wa sheria ya usajili na utambuzi wa watu.

 

 

You Might Also Like

Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini

TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya

Majaliwa: Anwani Za Makazi Kupunguza  Safari Kwa Viongozi

TPDC  Yaibuka Mshindi Sabasaba Yapata Tuzo Ya Tano

TARURA Yaimarisha Upitikaji Miundombinu Ya Barabara

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yapongeza China Kwa Kuimarisha Uhusiano Wa Kidiplomasia Kupitia Lugha, Utamaduni
Next Article Ufanisi Wa TANESCO Katika  Utekelezaji Na Usimamizi Wa Miradi Umeleta Mfumo Madhubuti Wa Nishati- Ndejembi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
Mpango Wa Taifa Wa Teknolojia Uko Mbioni Kuja-Serikali
Habari December 3, 2025
Petroli Yaendelea Kushuka Bei Desemba
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?