MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nchi Za SADC Zahimizwa Kutunza, Kulinda Amani
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nchi Za SADC Zahimizwa Kutunza, Kulinda Amani
Habari

Nchi Za SADC Zahimizwa Kutunza, Kulinda Amani

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
NNCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimepiga hatua kubwa katika kuimarisha amani na utulivu, mshikamano na utawala bora, licha ya changamoto zilizopo.
Changamoto hizo ni za kisiasa, uhalifu unaovuka mipaka na matatizo ya kiuchumi kwa jamii.
Habari Picha 8922
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Balozi Samwel Shelukindo amesema hayo wakati anafungua Mkutano wa Utatu wa Makatibu Wakuu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama jijini Antananarivo, Madagascar leo Agosti 15, 2025.
“Licha ya changamoto mbalimbali zinazozikabili nchi wanachama na ulimwengu kwa ujumla, eneo letu limebaki kuwa himilivu, likiendelea kutekeleza majukumu yake kwa ajili ya kuyafikia malengo ya kisiasa na kiuchumi kwa manufaa ya watu wetu,” amesema.
Habari Picha 8923
Amesema ni jambo lisilopingika kwamba amani na utulivu ni msingi wa kuyafikia maendeleo endelevu, hivyo, amesisitiza umuhimu wa nchi za SADC kufanya kila linalowezekana ili eneo hilo liendelee kubaki kuwa tulivu wakati wote.
Amesema ili lengo hilo liweze kutimia, amehimiza nchi wanachama kulipa kipaumbele kwa kujijengea uwezo katika kuhamasisha jitihada za kuzuia migogoro, usuluhishi wa migogoro, kujenga na kulinda amani.
Habari Picha 8924
Amezitakia kheri nchi wanachama zinazojiandaa na uchaguzi mkuu ambazo ni Malawi, Ushelisheli na nchi yake Tanzania.
Amesema Tanzania inasubiri kwa hamu kubwa kupokea timu ya waangalizi ya SADC ambapo maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025 yanaendelea.

You Might Also Like

Sheikh wa Mkoa, ‘Wanaotoa Rushwa Msiwachague’

Fursa za Uwekezaji Kanda ya Ziwa: Buzwagi na Maeneo Mengine ya Kimkakati

Katibu Mkuu Ahimiza Uzalendo Na Uadilifu Kwa Wanachama wa Ewura CCC

Wiki ya kudhibiti bidhaa bandia kuhitimishwa DSM

Watanzania Acheni Kuchanganya Mazao -Jafo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Nchi Za SADC Zahimizwa Kutunza, Kulinda Amani
Next Article Kutoka 1975 hadi 2025: TUCTA Yatimiza Ndoto Ujenzi Jengo La Biashara Arusha
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?