MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwalim: Nikichaguliwa urais, Kigaila atakuwa Waziri Mkuu wangu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwalim: Nikichaguliwa urais, Kigaila atakuwa Waziri Mkuu wangu
Habari

Mwalim: Nikichaguliwa urais, Kigaila atakuwa Waziri Mkuu wangu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: MGOMBEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amesema akichaguliwa kuongoza nchi, atamteua mgombea ubunge wa Jimbo la Kivule, Benson Kigaila, kuwa Waziri Mkuu.
Akizungumza na wananchi wa Kivule, Mwalim amesema Kigaila anatosha kushika wadhifa huo.
“CCM biashara imeisha… nendeni na Kigaila, nichagulieni kaka yangu, pacha wangu wa kisiasa — ndiye atakuwa Waziri Mkuu wangu,” amesema Mwalim.
Habari Picha 10070
Amesema ameamua kuweka wazi siri hiyo kwa kuwa Kigaila anaijua nchi vizuri na amezunguka maeneo mengi.
“Kigaila ni mzee wa field, ndiye atakayekwenda kutatua changamoto zilizosababishwa na CCM,” ameongeza.
Mwalim amewasisitiza wananchi kumchagua Kigaila ili aende akachangamshe Bunge kwa hoja zenye weledi.
Aidha, alisema CHAUMMA imejipanga kutatua matatizo yanayowakabili wananchi wa Dar es Salaam ikiwemo michango katika shule za serikali, huduma kwa akina mama wajawazito, mikopo ya wajasiriamali na ajira kwa vijana.
Habari Picha 10071
“Hakuna wazo la kibiashara la Mtanzania litakalokufa. Serikali yangu itawekeza kwenye taasisi za kifedha ili kufanya mapinduzi ya kiuchumi,” alisema.
Ameongeza kuwa serikali yake itapambana na changamoto za kilimo na ajira, akisisitiza kuwa tatizo hilo linapaswa kushughulikiwa kwa umoja na si kwa misingi ya vyama.

You Might Also Like

Balozi Seokolo Atoa Wito Kuimarisha Biashara na Viwanda Kanda ya SADC

TARI: Mabadiliko Ya Tabia Nchi Yamepunguza Ufanisi Wa Mbegu

TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge

Miradi iliyokamilika ianze kutoa huduma- Nyamoga

Wizara ya Nishati Yajivunia Jitihada Katika Kulinda Haki, Usawa na Kuwawezesha Wanawake

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Next Article Madaktari Kutoka Ireland Watoa Matibabu Ya Mifupa Kwa Watoto MOI
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kanisa Laitaka Serikali Kuchukua Hatua Dhidi ya Rushwa
Habari April 5, 2026
CWT Yashauri Walimu Wasiwe Wasimamizi Wa Miradi
Habari April 4, 2026
Serikali Yaanza Mikakati Ya Kukabiliana Na Wanyamapori Wakali, Waharibifu
Habari April 4, 2026
Askofu Chilongani Aitaka Jamii Kutumia Ijumaa Kuu Kusameheana na Kujenga Umoja
Habari April 4, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?