MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi
Habari

Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MOROGORO: CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema maendeleo ya watu yanategemea umakini na uadilifu katika usimamizi wa rasilimali ambazo taifa limejaaliwa na Mwenyezi Mungu.
Mgombea urais wa CHAUMMA, Salum Mwalim, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zilizojaaliwa kila aina ya rasilimali.
“Kila kona ya nchi hii kuna dhahabu, almasi, tanzanite, madini ya kutengeneza ndege, rubi na makaa ya mawe,” amesema.
Habari Picha 9744
Ameeleza kuwa licha ya utajiri huo, wananchi wanaendelea kuishi katika umaskini uliosababishwa na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Mungu ametupa ardhi kubwa nzuri kwa ajili ya kilimo na mifugo… ni nini utakachotaja hakipo? Lakini bado tuna umaskini. Hii ni kwa sababu ya CCM,” amesema.
Akizungumzia gharama kubwa za chakula, amesema suluhisho ni kuongeza uzalishaji na kupunguza bei za bidhaa sokoni.
“Kupanga ni kuchagua. Mimi nimechagua kilimo kwa sababu ardhi tuliyonayo si ya kuipigia magoti kwa Mchina wala Mmarekani,” amesema na kuongeza:
“Tuna mamilioni ya hekari za kulima miwa, tuna mbegu na tuna nguvu kazi ya kutosha, lakini kila mwaka tuna tatizo la sukari… hizo ndizo akili za CCM.”

You Might Also Like

Mdau wa Maendeleo Goryo Ashinda Tuzo Ya Mlipa Kodi Bora

Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Wanawake Jijini Arusha

India Kuwekeza Katika Sekta Ya Nishati Nchini

Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi

UDSM  Yakamilisha Utafiti Wa Dawa Ya Kusafisha Sumu Kwenye Maji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Utekelezaji Mradi Mkubwa Wa Maji Mwanza Wafikia Asilimia 35
Next Article MGOMBEA URAIS WA CCM AENDELEA NA KAMPENI BABATI, MANYARA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?