MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mtindi wa Korosho, Stafeli Wafanyiwa Utafiti UDSM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mtindi wa Korosho, Stafeli Wafanyiwa Utafiti UDSM
Habari

Mtindi wa Korosho, Stafeli Wafanyiwa Utafiti UDSM

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM:  MWANAFUNZI wa mwaka wa nne Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Felechi Raymond ameongezea thamani zao la korosho na stafeli kwa kutengeneza mtindi.
Raymond amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa habari hizi katika Wiki ya Utafiti na Ubunifu kwa mwaka huu 2025, chuoni hapo.
Amesema,” Kwa nini nimeamua kutumia korosho  na stafeli. Korosho inalimwa sana katika nchi ya Tanzania, lakini uchakataji wake ndani ya nchi ni mdogo.
” Kwa hiyo nataka kuongeza thamani ya zao la korosho lakini pia kutumia tunda la stafeli kwa sababu lina virutubisho vinavyozuia kupata saratani lakini pia kuna nyuzi nyuzi muhimu kwa ajili ya afya ya mfumo wa umeng’enyuaji wa chakula,”.
Amesena pia ameamua kuongezea thamani tunda la stafeli kwa kuliweka katika mtindi ili thamani yake iweze kupanda, iweze kukaa muda mrefu na kuwafikia wengi.
Amesema bidhaa hiyo ni nzuri na ina faida kuliko ile inayopatikana kwenye bidhaa ya wanyama .
” Inasaidia kushusha lehemu kwenye damu , zikishushwa inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ambayo yanahusiana na kuziba kwa mishipa ya damu  na moyo,” amesema.
Pia amesema bidhaa hiyo ina nyuzi nyuzi zinazotokana na tunda la stafeli, ni muhimu katika afya ya utumbo au mfumo wa kumeng’enya chakula.
” Ukiachana na faida ya lishe kuna watu hawawezi kutumia maziwa au bidhaa zinazotokana na wanyama kwa sababu wana ‘aleji’ nazo au wakitumia wanapata shida hivyo bidhaa hiyo inawalenga watu hao pia.

You Might Also Like

Trump Amteua Mtendaji Mkuu White House, Safari Ya Kuunda Timu Yake

Simbachawene: Nitaheshimu Mfumo Wa Uongozi Na Kushirikiana

Tanzania Yapokea Faru 18 Kutoka Afrika Kusini

Dkt Biteko Awasili Nchini India Kwa Ziara Ya Kikazi

Malecela Aibuka Kidume Dodoma Mjini, Mavunde Ang’aa Mtumba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Shule 216 Za Serikali Zatumia Nishati Safi Ya Kupikia – Kapinga
Next Article Wananchi Wahimizwe Ulipaji Kodi Kimtandao – Nyongo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?